Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Vyovyote vile iwavyo, ukweli ni kuwa Makonda ana nyota ya ushawishi kuliko SG Nchimbi.
Hata ukifuatilia namna mapokeo ya hadhira inayo hudhuria mikutano yao, wazi huwezi kuchelewa kung'amua hilo.
Pamoja na wengi kumpuuza Makonda, lakini ukweli ni kwamba anao ushindi ulio bayana lijapo suala la ushawishi.
Basi kama katika kundi la wabovu alilopo basi yeye ni mbovu mwenye nafuu.
Hata ukifuatilia namna mapokeo ya hadhira inayo hudhuria mikutano yao, wazi huwezi kuchelewa kung'amua hilo.
Pamoja na wengi kumpuuza Makonda, lakini ukweli ni kwamba anao ushindi ulio bayana lijapo suala la ushawishi.
Basi kama katika kundi la wabovu alilopo basi yeye ni mbovu mwenye nafuu.