habari wadau..
nimeguswa sana na ajali iliyoua watu watano singida..
gari za serikali zinaua sana watumshi wake..
najua wengi tunasema siku zimefika.. au Mungu amependa..
ila hatujiulizi why Mungu hawapi ajali madereva wa balozi au kampuni za kimataifa? au mnafikiri hizo gari zao huwa hazisafiri ?
katika harakati za maisha nimewai fanya kazi ubalozi wa taifa moja kubwa...
nilijifunza mengi sana hasa jinsi ya kuweka controls na kuzisimamia... gari zote zimefungwa vingamuzi.. spidi yake popote.. transport manager.. na bosi wa department anaona .. na alarm inalia kwenye simu yake.. na anamfukuza kazi dereva fasta na hata mliokuwemo kwenye gari hilo.. mnaweza fukuzwa pia..
gari zote zina camera ndani.. haruhusiwi kupanda asiyehusika hata kama ni mke wako au mwanao.. ile camera inarekodi kila kitu ndani ya gari... ndio maana huwezi kuona ajali za kijinga magari yao..
pia nimewai kufanya kazi na kampuni kubwa tu vijana wanaita multinational.. napo kila gari lina kingamuzi... wao hawana camera tu.. ila spidi bosi wako anaona popote..
na pia hairuhusiwi kupanda kwenye gari asiyehusika...
na huu utaratibu wa wafanyakazi kibao kusafiri na gari moja ni wa wapi? au ndio kubana matumizi.. si wangekatiwa hata tiket za bus kila mtu asafiri kivyake
nimeguswa sana na ajali iliyoua watu watano singida..
gari za serikali zinaua sana watumshi wake..
najua wengi tunasema siku zimefika.. au Mungu amependa..
ila hatujiulizi why Mungu hawapi ajali madereva wa balozi au kampuni za kimataifa? au mnafikiri hizo gari zao huwa hazisafiri ?
katika harakati za maisha nimewai fanya kazi ubalozi wa taifa moja kubwa...
nilijifunza mengi sana hasa jinsi ya kuweka controls na kuzisimamia... gari zote zimefungwa vingamuzi.. spidi yake popote.. transport manager.. na bosi wa department anaona .. na alarm inalia kwenye simu yake.. na anamfukuza kazi dereva fasta na hata mliokuwemo kwenye gari hilo.. mnaweza fukuzwa pia..
gari zote zina camera ndani.. haruhusiwi kupanda asiyehusika hata kama ni mke wako au mwanao.. ile camera inarekodi kila kitu ndani ya gari... ndio maana huwezi kuona ajali za kijinga magari yao..
pia nimewai kufanya kazi na kampuni kubwa tu vijana wanaita multinational.. napo kila gari lina kingamuzi... wao hawana camera tu.. ila spidi bosi wako anaona popote..
na pia hairuhusiwi kupanda kwenye gari asiyehusika...
na huu utaratibu wa wafanyakazi kibao kusafiri na gari moja ni wa wapi? au ndio kubana matumizi.. si wangekatiwa hata tiket za bus kila mtu asafiri kivyake