Kwenye pitapita zangu za mtandaoni nimekutana na boxing isiyokuwa na refa imenikumbusha enzi za utoto mnapigana alafu wakubwa wanasema amna kuwa ingilia wameshiba hao.
Je ushawahi kupigana alafu watu wasiwaingilie wanawaacha mpigane mpaka apatikane mshindi?
Ndo hii sasa,
Je ushawahi kupigana alafu watu wasiwaingilie wanawaacha mpigane mpaka apatikane mshindi?
Ndo hii sasa,