Kwenye pitapita zangu za mtandaoni nimekutana na boxing isiyokuwa na refa imenikumbusha enzi za utoto mnapigana alafu wakubwa wanasema amna kuwa ingilia wameshiba hao.
Je ushawahi kupigana alafu watu wasiwaingilie wanawaacha mpigane mpaka apatikane mshindi?
Ndo hii sasa,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.