Ushawahi kukanwa? (Kisa cha kweli)

Ushawahi kukanwa? (Kisa cha kweli)

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,672
Reaction score
4,560
Heri ya mwakampya wadau,nashukuru kujaaliwa mwaka mwingine wa uhai

Kwenye maisha kuna watu akipata mafanikio au hata akiwa kwenye level Fulani ya maisha anaweza kukukana mpaka ukashangaa.

KISA CHA KWELI
kuna jamaa tuliwahi kukaa kwa babu enzi hizo anasoma A level huko mwanza nikaja kukutana nae DSM aisee jamaa akasema hakumbuki kama amewahi kuwa mwanza ...nikamtajia mpaka nickname yake kasema hanijui nilichukulia easy kwa sababu jamaa ni mpenda sifa.

Umewahi kukanwa katika mazingira yoyote na mpenzi,ndugu au rafiki tushare jamani.Karibuni
 
Mkuu pengine hakufahamu. Mwaka 2013 kuna jamaa alinifananisha nikamtalia simjui. Jamaa alinionyesha mpk picha ya kwenye simu ya huyo jamaa.. kiukweli mm na ile picha tunafana kwa kiasi kikubwa Unaweza ukasema twins. Mwisho wa siku jamaa alielewa.
 
Mkuu pengine hakufahamu. Mwaka 2013 kuna jamaa alinifananisha nikamtalia simjui. Jamaa alinionyesha mpk picha ya kwenye simu ya huyo jamaa.. kiukweli mm na ile picha tunafana kwa kiasi kikubwa Unaweza ukasema twins. Mwisho wa siku jamaa alielewa.
Hapana na likizo hii tumeonana Mwanza ...jamaa mtu wa sifa sana ..ukiongea nae anaanza sifa
 
Heri ya mwakampya wadau,nashukuru kujaaliwa mwaka mwingine wa uhai

Kwenye maisha kuna watu akipata mafanikio au hata akiwa kwenye level Fulani ya maisha anaweza kukukana mpaka ukashangaa.

KISA CHA KWELI
kuna jamaa tuliwahi kukaa kwa babu enzi hizo anasoma A level huko mwanza nikaja kukutana nae DSM aisee jamaa akasema hakumbuki kama amewahi kuwa mwanza ...nikamtajia mpaka nickname yake kasema hanijui nilichukulia easy kwa sababu jamaa ni mpenda sifa.

Umewahi kukanwa katika mazingira yoyote na mpenzi,ndugu au rafiki tushare jamani.Karibuni
Mi sinaga kawaida ya kumbembeleza mtu, nikimsalimia na haoneshi mshtuko wowote kama anahisi tumeonana sehemu, huwa napita hivi!
 
Hahah mpk nickname yake lkn hollaa tu
 
kuna panzi mmoja alikuwa 1st udom hapo ndo imeanzshwa anzishwa (2009) nilisoma nae mpakani huko mtwara kukutana dodoma jamaa akanikatalia kabisa sio yeye.

siku moja nimeenda kuwaona jamaa zangu akaja na yeye nikasema simkumbuki kabisa jamaa wananishangaa tu badae nawaambia huyu jamaa niliwahi onana nae town akanikana sinaga stori nae mpaka leo.
 
kuna panzi mmoja alikuwa 1st udom hapo ndo imeanzshwa (2009) nilisoma nae mpakani huko mtwara kukutana dodoma jamaa akanikatalia kabisa sio yeye.

siku moja nimeenda kuwaona jamaa zangu akaja na yeye nikasema simkumbuki kabisa jamaa wananishangaa tu badae nawaambia huyu jamaa niliwahi onana nae town akanikana sinaga stori nae mpaka leo.

We panzi, UDOM imeanzishwa 2007.
 
kuna panzi mmoja alikuwa 1st udom hapo ndo imeanzshwa anzishwa (2009) nilisoma nae mpakani huko mtwara kukutana dodoma jamaa akanikatalia kabisa sio yeye.

siku moja nimeenda kuwaona jamaa zangu akaja na yeye nikasema simkumbuki kabisa jamaa wananishangaa tu badae nawaambia huyu jamaa niliwahi onana nae town akanikana sinaga stori nae mpaka leo.
Ubaya ubayani
 
Kuna jamaa alikua anasoma Udom, alikua anakuja kwa kaka yake ambae amepanga nyumbani kwetu. Tunacheki movies, mpira na kutembea mtaani pamoja. Udom tulikuwa tunakula nae kwa wajasi ng'ox 2010's.
Ila siku moja nikamkuta katika shule flani hivi anafundisha, nilikua nimeenda kufanya usahili maana waliniita. Mkurugenzi alivyoona Udom, akasema tena mwenzio yuko hapa na akamwita, kisha akamuuliza;unamfahamu huyu? Niwenzio wa Udom. Jamaa bila hiana kasema hanijui.
Lakini jioni tunakutana kitaa ananiita jina langu na kuanza kumung'unya maneno yasiyoeleweka. Kiukweli huwa inaniuma hadi leo, usiombe kukanwa hadharani tena mbele ya macho yako mchana kweupe, utatamani kulia hutaweza, roho itakuuma sana sana sanaaa.
 
Kuna jamaa alikua anasoma Udom, alikua anakuja kwa kaka yake ambae amepanga nyumbani kwetu. Tunacheki movies, mpira na kutembea mtaani pamoja. Udom tulikuwa tunakula nae kwa wajasi ng'ox 2010's.
Ila siku moja nikamkuta katika shule flani hivi anafundisha, nilikua nimeenda kufanya usahili maana waliniita. Mkurugenzi alivyoona Udom, akasema tena mwenzio yuko hapa na akamwita, kisha akamuuliza;unamfahamu huyu? Niwenzio wa Udom. Jamaa bila hiana kasema hanijui.
Lakini jioni tunakutana kitaa ananiita jina langu na kuanza kumung'unya maneno yasiyoeleweka. Kiukweli huwa inaniuma hadi leo, usiombe kukanwa hadharani tena mbele ya macho yako mchana kweupe, utatamani kulia hutaweza, roho itakuuma sana sana sanaaa.
Pole mkuu
 
Ilikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..

Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!

Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..

Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!

Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom