Ushawahi kukanwa? (Kisa cha kweli)

Ushawahi kukanwa? (Kisa cha kweli)

Tatizo sio pesa..ni moods..ila issue za muhimbili sidhani kama mfano wako ni valid ..kwani kusalimi na kumpa MTU faraja mwenye uhitaji vina uhusiano gani?
Mambo ya moods sijui nini hua ni mambo ya mademu hayo.

Kwani na ww unaingia kwenye siku zako za mwezi mpk uwe na mood swings.
 
Kwa hili me niko 50 / 50 kabisa Yaani naanza kukusoma toka mwanzoni ukiuchuna me ndo Kwanzaa Sina habari, ukinichangamkia hata kama sikukumbuki vizuri nakuchangamkia mifano nnayo mingi mno Kwa Leo tuishie hapo
 
Hii mara nyingi huwa wanaifanya madada, yaani unaweza usiamini. Washikaji huwa ni wachache. Hapa pia kuna kufananisha watu, mtu anakufananisha na anakukomalia kiwa ndio wewe lakini unamringia hivyo inabidi umuelezee mtu vizuri na akiwa hakuelewi au umemfananisha basi muachane salama, binafsi iliwahi nikuta nipo kwenye bus kubwa tumesimama mara dada mmoja akanigusa nikamsalimia akaonesha kunichangamkia lakini mimi sikumtambua kwa kipindi hicho, akaniuliza unanikumbuka nikamwambia hapana naomba unikumbushe, ajabu akakasirika akapanic kabisa eti kama hunikumbuki basi, nikajaribu kumsihi lakini wapi Dada hataki kabisa, nikaona isiwe tabu nikatemana nae, muda mwingine mtu unapitia mambo mengi so unatakiwa umboost kidogo mtu ili akumbuke ukiona bado na umefikia mwisho wako wa kujieleza achana nae.


uko sahihi mkuu
baadhi ya watu wanasusa kihurahisi sana wakidhani unajifanya umjui
 
Kuna jamaa angu mmoja (kwa sasa ameshatoboa lakini) alikuwa n jamaa angu ile kinoma noma wakat bado tuko kwenye msoto wa maisha...ila ilikuja tokea ye akaenda mkoa mwingine kwa ndugu zake ambako ndo alipopata rehema za MUNGU na kutusua kimaisha.......sasa baada ya kama miaka 4 hivi tukiwa tumepotezana nikawa nimepata namba yake ya cm......... duuh sitasahau jinsi jamaa alivyoninawa aisee.....jamaa anasema eti mimi hanitambui na sauti ya ninayesema ni mimi anaijua vizuri sana na namba zake anazo na huwa wanawacliana akakata na cm.........
 
Duh, huyo jamaa ni mshamba kupitiliza, mimi hata mtu kama sikumkumbuki, naelewana nae then kufahamiana vizuri baadaye, ila akileta mambo ya kutoana michongo ya hela namkataa kimtindo
 
Ilikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..

Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!

Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..

Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!

Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Na wewe si ndio walewale washamba wa dar es salaam, hivi watu wa dar mna matatizo gani hahah
 
Mzee aliachana na bi mkubwa mi bado janki kabisa kwa hiyo yeye ana kwake na bi mkubwa ana kwake minakaa na bi mkubwa
Baada ya siku hiyo nilienda nikauza kuku wangu nilikuwa nao kama 6 hivi nikasolve hilo tatizo skuli
Nilikaa kama miaka miwili hivi bila kuonana nae japo kwake ni kama km1 tu kutoka home
Kwa sababu yeye tangu nna akili sijawahi kumuona kaja nyumbani
Unawza kudhani labda kweli sio baba yangu
Lakini nna uhakika ni mzee wangu coz tunafanana sana sura
Kuna mambo mengi sana ila katika watu ambao siwakubali ni huyu mzee
Huyo mzee wako anatafuta laana ya watoto, atakuja kukutafuta, count down years, anazeeka, na atakuja kujua thamani yako, pole sana mkuu
 
Kuna Dada mmoja tulisoma nae chuo nilikua namgegeda bhana, tukaja kuzinguana. Mpaka tunamaliza chuo hatusemeshani, nikaja kukutana nae Regency Hospital Pale Pharmacy... nikamsalimia akauchuna bado... Nikatamka kwa Nguvu kaka nimeijia ARV, zile nyingine zimeisha... watu wakipungua nipigie....Macho yalimtoka kama Kobe... niliona nimchanganye, hawezi niletea ujinga mm... nikaondoka
hii kali mkuu
 
Ilikua mwaka Jana mwishoni mwishoni niko zangu kwenye starehe maeneo ya Arusha Heineken zakupendeza..kulikua na ziara ya Mh fulani hivi...nikaamua nikale bata hukooo USA River sikutaka kuonana na mtu yoyote ..

Nikawa na dereva na mwanangu flani ..ile naingia club Njeree naona jamaa anansanukia..we si fulani tumesoma Feza mwaka fulani..nilimnawa live! kata kata nikamchomloea tena in a harsh way..tulipo chill wenzangu wakanambia humjui yule..nikawaambia namfaham sana sema sikua na ratiba ya kuonana na mtu ndio maana tuko hapa!

Wakati tunatoka dereva alimfuata kumuomba radhi na akamthinitishia ndiye mm..

Sipendi kushobokewa hasa nikiwa kwenye moods zangu..unakutana na jitu linakenuaa weee salamu nusu saa..my brother huo muda sina!

Ukinivamia hovyo hovyo nakunawa tu! nshamkana mpaka dada yangu mahala na uso mkavu...hawa washkaj school mates ndio kabisaa..au najifanya sikukumbuki usinipotezee muda wangu ..
Ase Kumbe Ndivo Ulivyo. Daah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom