Ushawahi kujihisi out of place?

Ushawahi kujihisi out of place?

mischa

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
367
Reaction score
177
Pale mmekaa kiring cha watu afu watu wanaongea mambo ya kiprofessional huna hata cha kuchangia?
Kinywaji inashuka kweli.

Hebu tambizane.....
 
Ndo katika hali ya kutafuta michongo ya kutoka kimaisha.
 
huwa ina boa sana na hasa ukae na watu wa aina moja ambao hawajui ku balance mazungumzo utajuta. ni aheri ukae na ma doctor wa hosp angalau wao wakiongea huwezi feel sana coz wote hatuwezi kuwa ma dr. lakini sio elimu nyingine nyingine tu za kawaida.
 
Pale mmekaa kiring cha watu afu watu wanaongea mambo ya kiprofessional huna hata cha kuchangia?
Kinywaji inashuka kweli.

Hebu tambizane.....

Ishanikuta hiyo mkuu, nilikaa na mshkaj wang flan ambaye ni lawyer yuko na colleagues wake daaah. Yaan ilibidi nisubiri topic ya mpira ianze ndo namimi nichangie.
 
majibu mengine yanatafuta ngumi na mengine yanafurahisha sasa ingekua ni mimi naomba excuse kabisaa sitaki kuumbuka
 
acha nipite nitarudi baadaye hapa maana mhm! kazi kwelikweli
 
Kwani lazima uchangie kila kitu. Wakati mwingine unaweza kuwa MSIKILIZAJI tu, ili nawe ukawa wa simulie wengine nao wao wasikilizaklji.

Hiyo ni cycle. Ukiona huna cha kichangia usifadhaike, usiumue.
 
ishanitokea
nikabaki kutafta magemu ya kucheza kwenye simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom