BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 5,102
- 14,024
Ilikuwaje na ulisolve vipi hata kama ulipakwa mafuta funguka ili vijana wajifunze kuwa mke wa mtu ni mtamu ila mpaka pale utakopofumaniwa ndio utajua hujui.
yani nifirwe nije nitoe ushuhuda wewe ni mzima kweli? kunasiri zingine tunafukiwa nazo kaburini hata mwanao huwezi kumwambia na unajiangalia kwenye kioo unajipiga kifuani mara tatu huku unasema nyani mzee anakwepa mishale mingi





😂😂😂😂😂yani nifirwe nije nitoe ushuhuda wewe ni mzima kweli? kunasiri zingine tunafukiwa nazo kaburini hata mwanao huwezi kumwambia na unajiangalia kwenye kioo unajipiga kifuani mara tatu huku unasema nyani mzee anakwepa mishale mingi
🤣🤣🤣🤣yani nifirwe nije nitoe ushuhuda wewe ni mzima kweli? kunasiri zingine tunafukiwa nazo kaburini hata mwanao huwezi kumwambia na unajiangalia kwenye kioo unajipiga kifuani mara tatu huku unasema nyani mzee anakwepa mishale mingi