From Italy Fiumicino ilikua nipitie Zurich then connection to
Copenhagen.
Bana we njiani bado hatujafika kukawa na mvua ya hatari na wingu kibao
Mmh mi flight ya kuunga ilikua fasta tu pale Zurich. (time zote sijarecord nilikua monde arabe)
Zikaanza info mle kwamba ooh kuna wingu
Zito na mvua hivyo traffic ipo tunaweza chelewa au tukaland ontime.
Duh,
(hapo hata humo ndani ya ndege inabamizwa na mawingu inayumba km daladala la kwa mpalange)
Bwii lote likanitoka mswahili tena nikataka niwaambie nteremsheni nikimbilie ndege ingine.
Wananipoza Sir tulia Sir utawahi.
Ile tumekaribia hapo ndo kabisa delay ikatajwa tena na captain mwenyewe.
Kwamba hamna jinsi hatuendi kutua mpk waruhusu,so tutazugazuga huku juu kusubiri watachotwambia,mawee

Sasa itakuwaje?
Mara wakatangaza flani bini flani pita mbele,tulikua km watano hivi tukawekwa front.
Mda si mda Captain akasema sasa funga mkanda tukaland huku kuna tumoir sio ya kawaida.
Tumeshuka fasta kikaletwa kile kibajaj kutupeleka huko gate no ngapi sijui.
Shuka pale fasta panda juu kule mpk nafika check in gate langu.
Nikakuta foleni poa ndo hapa dah kumbe hao wamepiga foleni ni flight ingine aisee.
Nimepiga foleni pale nafika natoa boarding pass yule blonde ananambia this is not your flight sir "ayaa"
Ubishi wetu sasa wamakua,
"But this is gate no 47 to Copenhagen "
Mdada "yes its,but your flight is gone"khaa
Nikaona mi kosa langu nini
Na yule binti anasisitiza "pisha wengine waingie"
Kidogo nimwambie "siendi popote naingia na mimi"
Akaniambia nenda Office ya Swissair watajua la kufanya.
Dah,nikarudi ofisini nimefura nafika "what this,you delay us and now my flight is gone"
Nikajiongeza "im going to miss all my bussiness meeting"



Walikonda
Cool down Sir,which flight you came with:
Nikabwaga document zote pale.
Wakacheck then relax nafkiri ilikua sa nane mchana,then wakaapologise its their mistake na ku recommend kwamba kuna flight yao sa 12
Jioni,nikawaambia poa.
Aah mzee,boarding pass ikatengenezwa chap nikapewa kaja binti pale kaburuta kabegi mpaka bussiness class lounge wakaambiwa wanihudumie chochote mpaka mda wa kuondoka.
Wacha nitie hasara mmakonde.

Gonga sana Hennessy mle na vyuku vya kutosha.
Ilibaki kidogo na hiyo ndege ingine iniache.
Wakatangaza abiria ndege no blaha blaha sogea getini.
Mi naona mbona wamewahi bana.
Mwisho nilifika