Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Ushauri: Zitto aanzishe Chama chake kingine...

Status
Not open for further replies.
Unashangaa Ushirikina na mtu katoka kigoma?
huoni kasema 'ameaga' kwao?
huwahui watu wa kighoma kumbee?

Hahahahaaa daaaah!

Kumbe ndo alichomaanisha hicho?

Basi mi nilisoma nikaona anachimba biti la kawaida tu kumbe wapi!

Hivi uchawi kweli unafanya kazi?
 
Sio busara kumlazimisha kutoka cdm,mi nafikiri tuheshimu uamuzi wake,keshasema hatajitoa cdm na kwenda chama kingine chochote.cdm ni chama cha demokrasia na maendeleo,tuvumiliane, binafsi simkubali sana zitto lakini siungi mkono zitto kuondolewa cdm,yeye ana mchango wake pia.
 
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli
naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde chama chake ambacho yeye atakuwa
mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko

Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015
lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..
hii now iko waazi mno

Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...
basi ni bora ajipange now......

mimi naona this way it is better kwa kila mtu
Zitto na CHADEMA pia......

Wewe mchonganishi,gamba.
 
Pole zitto,mti wenye matunda mengi ndo unaopigwa mawe siku zoteee...Zitto usiwasikilize watu hawana nia njema juu yako wala hawana shukran kwa kazi uliyoifanya....,maana mengi ni ww zitto umetufanya tujue ila hawaoni haya...komaa hapo hapo CDM.

kukomaa sio tatizo ila tunaomba awaombe msamaha wana chadema kwa usaliti ambao alitaka kuufanya. zitto hawezi kuwa presidential material zina anakatambiza harakati za ukombozi mwanzo watu walikuwa wanasema anaonewa sasa leo limejulikana Zitto acha ujinga ,tulikuamini kumbe tunaamini mawe tuna mshukuru Mungu kwa kutufunuria mambo haya Ahsante Mwenyezi Mungu kwa Ufunuo huu. Mungu ibariki Chadema Mungu ibariki Tanzania
 
Zitto siyo presidential material hata chembe.

Iwe tuhuma dhidi yake ni za kweli au la, a presidential material has to be above suspicion in many respects.

Sasa huyu kwenye ufisadi, tuhuma anazo. Kwenye undumilakuwili, tuhuma anazo. Kwenye usaliti, tuhuma anazo.

Na sasa hadi kwenye ushirikina, tuhuma anazo.

Where there is smoke there is fire. Zitto hafai kuwa rais.

He is too polarizing.

Ndugu NN jana kwenye mjadala wa LULU ulituelekeza sana kuhusu dhana ya ushahidi kabla ya kufungua mashtaka, naona leo umeingia kwenye mtego wa hawa jamaa wa mitandaoni, tafadhali naomba unithibitishie bila shaka yeyote juu ya tuhuma zote alizopewa ZZK na ulizozitaja hapo juu. Kwa kufanya hivyo utaondoa shaka yangu juu ya double standard uliyonayo katika mijadala.
 
Sio busara kumlazimisha kutoka cdm,mi nafikiri tuheshimu uamuzi wake,keshasema hatajitoa cdm na kwenda chama kingine chochote.cdm ni chama cha demokrasia na maendeleo,tuvumiliane, binafsi simkubali sana zitto lakini siungi mkono zitto kuondolewa cdm,yeye ana mchango wake pia.

Zitto aendeleee kubaki chadema sema awaombe Msamaha wana wana chadema kwa Usaliti
 
Ndugu NN jana kwenye mjadala wa LULU ulituelekeza sana kuhusu dhana ya ushahidi kabla ya kufungua mashtaka, naona leo umeingia kwenye mtego wa hawa jamaa wa mitandaoni, tafadhali naomba unithibitishie bila shaka yeyote juu ya tuhuma zote alizopewa ZZK na ulizozitaja hapo juu. Kwa kufanya hivyo utaondoa shaka yangu juu ya double standard uliyonayo katika mijadala.

Mkuu kama unataka ushaidi Mtafute Saanane atakuambia kila kitu au Mpm
 
pole kwa lipi kamkana hamjui ben kumbe alikuwa anamshirikisha mpaka mkumbo ben aje akanushe huku akiwa alishamshirikisha hata viapo vyake vya kwa mganga wasivujishe siri za kundi lake la wasaliti huku akija jamii forums kutuongopea ben kamwanika na mamuye jinsi mchana chadema usiku ccm soma majibu ya ben uelewe hutampongeza utamshauri ache siasa za undumila kuwili
Tatizo hiyo ni siasa kwahiyo hao wanashindana kwa yao na tusiwe wepesi wa kuhukumu bila ya kupima mambo yanavoenda...'Wa mtindo huu wa benny na Zitto CDM haifiki popote maana washaanza machuki na siasa za maji taka wakiwa ndani ya chama kimoja hatufiki popote CDM huku kupashana na kusemeana mbofu wakati wote mpo kwa chama kimoja na wanajifanya wana lengo kumbe kila mtu ana yake....tuwen waangalifu sana maana ss watanzania tupo kama nyumbu yaan tunafuata sana upepo bila ya kufikiria vya kutosha....mpaka mnanifanya nianze kuamini bora zimwi nilijualo kuliko haya mapya ambayo siyajui....ni mapema mno kwa wanaCDM kujiona tupo juu kiasi cha kubehave this way....I hate the attitude maana inaonekana wapambe wengiii lakin hakuna anayejua kiundani zaidi?
 
Boss,

Zitto ni kama maneno ya Nyerere juu ya Wazanzibar. Uhai wa Zitto utategemea kama akibaki Chadema au aende CCM na ni CCM ya Kikwete maana baada ya hapo, sidhani kama kiongozi atakayefuata atakuwa na nguvu na kumbemba Zitto na zaidi hawa watu wa TISS ambao Mwanahalisi walimwaga habari nzima uhusiano wa karibu wa Nzoka na Zitto.

Zitto ni kama mamba na ujanja wao. Hili huwa Wakongo wanalisema vizuri "Mamba mjanja kumayi....." ukishamropoa kutoka majini, basi anabaki si mali kitu. Zitto nje ya Chadema atakuwa mweupe sana na hawa wote wanaomsifu akina Nape na kundi lake hawatamsifu tena maana ataanza kuwa tishio na zaidi zaidi akizidi kuwa tishio kwao basi INTELENJIA ya Polisi itamfikia na kumfananisha na jambazi.

Zitto anapendwa sana na hilo kweli aliaga kwo. Akitubu na kuwaangukia watu na aache undumila kuwili basi watu si vipofu na wanajua kusamehe. Wataona matendo yao na la muhimu zaidi ni kuwa "Nape ataanza kumlaani Zitto waziwazi" na hiyo itakuwa alama kubwa kabisa kuwa Zitto AMEOKOKA.
 
Sio busara kumlazimisha kutoka cdm,mi nafikiri tuheshimu uamuzi wake,keshasema hatajitoa cdm na kwenda chama kingine chochote.cdm ni chama cha demokrasia na maendeleo,tuvumiliane, binafsi simkubali sana zitto lakini siungi mkono zitto kuondolewa cdm,yeye ana mchango wake pia.

Aendeleee kupaki chadema,lakini awaombe Msamaaa wana chadema
 
Mimi sikuwahi kumkubali zitto na sitokuja mkubali kamwe.
Coz nimnafiki na anapenda sifa sana, mtu yeyote apendaye sifa daima hafai kuwa kiongozi. Sababu mojawapo iliyonifanya nisimkubali ni pamoja kusema JK ni role model wake ambaye ana weakness kibao.
Lakini mwaka jana December nilianzisha thread ambayo nilisema kuhusu tetesi za zitto kuhamia CCM 2014 na pengine kugombea au kupewa madaraka makubwa sana CCM, hii ni baada ya kwenda South Sudan na Jk kwenye sherehe za uhuru wa nchi hiyo. Hii safari haikuwa bahati mbaya bali ilipangwa makusudi. Taarifa hizi nilizipata kutoka source muhimu ndani ya CCM. sasa haya yanayotokea ndo matokeo ya kauli hizi. Bahati mbaya sana hii thread ilifutwa haraka pamoja na matusi kibao kwamba mimi ni mnafiki. Leo na on watu wanavuana nguo, afadhali haya yametokeo leo pengine yatapoteza malengo ya akina wassira kuwa CDM kitakufa kabla 2015:
 
Mkuu kama unataka ushaidi Mtafute Saanane atakuambia kila kitu au Mpm

Sihangaiki na maneno ya mitandaoni,rudi usome maana ya ushahidi usiokuwa na shaka ili kuthibitisha kosa
 
Ndugu NN jana kwenye mjadala wa LULU ulituelekeza sana kuhusu dhana ya ushahidi kabla ya kufungua mashtaka, naona leo umeingia kwenye mtego wa hawa jamaa wa mitandaoni, tafadhali naomba unithibitishie bila shaka yeyote juu ya tuhuma zote alizopewa ZZK na ulizozitaja hapo juu. Kwa kufanya hivyo utaondoa shaka yangu juu ya double standard uliyonayo katika mijadala.

Wewe ni kichekesho!

Yaani unaleta criminal standard of proof kwenye mambo ya kisiasa? We wa wapi wewe?

Halafu mimi nimezungumzia tuhuma anazotuhumiwa Zitto na watu mbalimbali. Sijazitoa mimi hizo tuhuma.

Sasa unanitaka nikuthibitishie juu ya shaka yoyote kwa tuhuma anazotuhumiwa Zitto na watu wengine?

What have you been snorting? Crank?
 
Wewe ni kichekesho!

Yaani unaleta criminal standard of proof kwenye mambo ya kisiasa? We wa wapi wewe?

Halafu mimi nimezungumzia tuhuma anazotuhumiwa Zitto na watu mbalimbali. Sijazitoa mimi hizo tuhuma.

Sasa unanitaka nikuthibitishie juu ya shaka yoyote kwa tuhuma anazotuhumiwa Zitto na watu wengine?

What have you been snorting? Crank?

Miafrika ndivyo tulivyo
 
The Boss,
Hawezi kuanzisha chama kutokana na kauli yake Zitto, mwenyewe.

"Sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote zaidi ya Chadema na nitakuwa mtu wa mwisho kuisaliti Chadema, sina mpango wa kuondoka Chadema nimetoa damu yangu Chadema mie pamoja na wenzangu."

Mwisho wa kunukuu...
 
Last edited by a moderator:
tatizo la zitto, ni sifa za kijinga kutokana na kuwa ni mwenye uwezo wa kujenga hoja bungeni na nje ya bunge basi kaona kwamba yeye ndio kila kitu! mara oooh nagombea uraisi mara oooh mwaka 2015 sigombei ubunge! unajidanganya! dr slaa ni noma!huzunguki na M4C,sasa unataka kuwa kibalaka wa nep! sifa za kijinga!
 
Zitto ni msaliti wa aina ya Yuda Iskarioti.Anaisaliti CHADEMA huku akiibusu. Kwanza,nani anaamini kuwa Zitto atagombea urais kwa CHADEMA? Usiamini hivyo Mkuu.Zitto atajiorodhesha ili kuchafua hali ya hewa.Hii ni kwasababu yeye hakubaliki CHADEMA kwakuwa ni msaliti na shushushu anayejulikana. Yeye hana ubavu wa kushinda hata kama Dr.Slaa hatagombea. Ni msaliti asiyepaswa kufumbiwa macho.Anawaamini sana akina Mchange na Gwakisa wakati wpte ni wachanga siasani.Sijui vipi huyu jamaa
 
Unashangaa Ushirikina na mtu katoka kigoma?
huoni kasema 'ameaga' kwao?
huwahui watu wa kighoma kumbee?
Kama kuna siku yaweza kuwekwa kwenye kumbukumbu kuwa Zitto ameshusha hadhi yake kama mwanasiasa kijana makini kwa mtazamo wangu ni siku alipo"post" vitisho vyake vinavyohusisha mauaji ya halaki ya panya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom