Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde hama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko.
Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.
Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.
Mimi naona this way it is better kwa kila mtuZitto na CHADEMA pia.
Pole zitto,mti wenye matunda mengi ndo unaopigwa mawe siku zoteee...Zitto usiwasikilize watu hawana nia njema juu yako wala hawana shukran kwa kazi uliyoifanya....,maana mengi ni ww zitto umetufanya tujue ila hawaoni haya...komaa hapo hapo CDM.
Bila kujali kwamba tuhuma za Ben Saanane na wengine ni kweli au sio kweli naona ni busara kwa Zitto now ajitoe CHADEMA na aunde hama chake ambacho yeye atakuwa mwenyekiti na ataweza kukusanya washabiki wake wote waliopo CCM na CHADEMA na kwingineko.
Sioni ni vipi Zitto anaweza kugombea urais kwa kupitia CHADEMA sio tu 2015 lakini mwaka wowote ule.....CHADEMA will never be the party for him to vie for the presidency..hii now iko waazi mno.
Na Zitto lengo lake kuu ni kugombea urais...basi ni bora ajipange now.
Mimi naona this way it is better kwa kila mtuZitto na CHADEMA pia.
Unashangaa Ushirikina na mtu katoka kigoma?
huoni kasema 'ameaga' kwao?
huwahui watu wa kighoma kumbee?
Zitto hana lolote. Kama alivyosema mchangiaji mmoja, Zitto nje ya Chadema ni muflisi. Je unajua hata hizo ''hoja'' unazosema anajua kuzijenga ni kazi anayotafuniwa na TISS halafu yeye anafanya kumeza tu? Vyote vinafanyika chini ya uangalizi wa Kikwete kwa sababu maalum. Yeye hajui hata huko TISS kuna watu wameshakerwa na huu upumbavu wa kushughulika na vitu vya kishambega na kuacha mambo ya msingi. Hata CCM kwenyewe kuna watu wanamwona Kikwete anatumia nguvu na resources nyingi kumlinda huyu kigagula bila faida kwa taifa bali kwa malengo yake binafsi ya kisiasa. Kikwete tangu Dr Slaa amkosekose kwenye uchaguzi wa 2010 hajiamini kabisa. Ni kwa vile tu matokeo yalifanyiwa kazi lakini japo Dr hakushinda lakini karibu ngoma ingekuwa droo. Hili linawatisha sana sana CCM kuelekea 2015 na hasa Kikwete ana wasiwasi urais usije kuangukia kwa mtu atakayemletea matatizo kwa kufukua madhambi yake.tatizo la zitto, ni sifa za kijinga kutokana na kuwa ni mwenye uwezo wa kujenga hoja bungeni na nje ya bunge basi kaona kwamba yeye ndio kila kitu! mara oooh nagombea uraisi mara oooh mwaka 2015 sigombei ubunge! unajidanganya! dr slaa ni noma!huzunguki na M4C,sasa unataka kuwa kibalaka wa nep! sifa za kijinga!
Aendeleee kupaki chadema,lakini awaombe Msamaaa wana chadema
Pole zitto,mti wenye matunda mengi ndo unaopigwa mawe siku zoteee...Zitto usiwasikilize watu hawana nia njema juu yako wala hawana shukran kwa kazi uliyoifanya....,maana mengi ni ww zitto umetufanya tujue ila hawaoni haya...komaa hapo hapo CDM.