Mseti2007
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 493
- 175
muda gani tena....3 years bado unaendelea tu kusubiri
Ndio ni miaka mingi lakini kumbuka kwamba kila jambo huwa lina wakati wake muafaka...
Hata wewe hapo ulipo yawezekana kuna mambo ambayo waliopembeni wanahisi ungetakiwa kuwa umekwisha yafanya lakini kutokana na muda bado hayajafanyika..