Msaada

Msaada

deprettyn

Member
Joined
Dec 7, 2013
Posts
10
Reaction score
0
Habari zenu wanajamvi.....nnampenzi wangu tumekaa almost miaka mitatu sasa..bt hajawai kunipeleka anapoishi hta mala mja..na najua kila kitu kuhusu yeye kwamba anamtoto bt aishi naye anaishi na mama yake..!!na nnapojalibu kumuuliza lini atanipeleka kwake ananijibu "ipo cku utapafahmu coz pale kwako"na anambia ananipenda kwa dhati....!!!ila najiuliza ni kweli ananipenda na anamalengo na mimi kweli na kama kweli ananipenda y ataki nipafahmu anapoishi na kila day kunipiga kalenda....!!Naomba ushauli wenu...(natumai majibu bt c kejeli)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom