Ushauri wenu wakuu

Ushauri wenu wakuu

Oooh mujini hapa hukunaga ushemeji watu wanakulaga tu
Ningekupenda wewe ohooo. Hadi malaika wa kheri wangesifu kwa mapambio.

Sasa hizo like wengine si unakuta mashoga zako..dada.. mashemeji.. binamu..rafiki zake na rafiki zake rafiki yangu.
 
Nikiwa katika kipindi kigumu cha kuwa peke yangu na vishawishi vingi

Kuna mheshimiwa mmoja Kijana ni rafiki yangu tulikutana nje ya nchi wote tukiwa safarini mawasiliano ndiyo yakaanzia hapo.
Amekuwa ni mtu mwema kwangu kwa kipindi hiki maana mwanzo wa kufahamiana sikupenda ukaribu nae kivile ukicheki nilikuwa nimeshazama kwa the x guy ile ya sanaa.nikawa nampotezea na kumkwepa.

Siku za karibuni nikajisogeza kwake baada ya kuwa lonely sana..jamaa akafurahi shopping anasimamia sana mitoko ni kwa tahadhari ya hali ya juu tusijeonekana (Jamaa ana mchumba na mtoto juu)
Ameniahidi mambo mengi sana na anatimiza siyo muongo muongo akisema no ni no kweli.
Tatizo moja tu ni kwamba yupo busy anaweza asipige simu whole day mara nipo bungeni...nina kikao i wll call back kiukweli yupo busy sana sana pia hayupo romantic na nilivyozoeshwaga.

Ila tukionana anazima simu zake ananisikiliza na mie namsikiliza.
Anadai atanioa. Mengine niachane nayo anajua yeye mwenyewe

Ananipenda na ananiamini sana it seems siyo player. Nawaza nimpende japo teyari ndo hivyo tena.naogopa nisijemuweka moyoni nikaja kujuta tena.

Wakubwa kama una ushauri juu ya hali hii nisaidie.
Matusi hapana

Teh. anadai hawana future yeye ndiyo anajua nikimtazama ni kama mkweli lakini naogopa.nilimwambia kama yupo serious aende home kwa wazee akasema ni mapema muda ukifika ataenda. Naogopa sana kumuweka moyoni


Sasa unaposema unaogopa sana kumuweka moyoni wakati MAELEZO yako na alot of effort unazotumia ni ishara wazi umeshajaa ndani ya box, kuanzia kutafuta ushauri nk, huoni kabisaaa tayari jamaa ameshaubeba moyo wako, maana hakuna sehemu nimeona umemkosoa kila sekta umempa tiki na vigelegele juu
 
Huyo tabia yake kama muuza supu, mbuzi akifa tu anafanya supu. Pole yako itakuwa(mwenye kukupenda kikweli hata awe kwenye kikao basi atapokea cm yako au atatuma text kuwa yupo kikaoni). Kuzima simu akiwa na kimada ina maana wapo wengi zaidi ya mchumba, wewe na wengine.



Ndukiiiii
 
Daaah nacheka kama mazuri vile...
1. Mitoko ni kwa tahadhari ya juu sana msije mkaonekana... Na nani?? (hakuna mapenzi)

2. Utasemaje siyo muongo mungo wakati number 1 tayari ni doa mnavichana... Ili iweje?? (hakuna mapenzi)

3. Yupo busy sana.. Hapigi simu siku nzima. Visingizio kibao vya i will call you back. Tunarudi kwanye number 2. Tayari ni muongo muongo... Kwa maelezo yako siyo kweli yupo busy ni matter of priority... Siku nzima hata message??? (hakuna mapenzi)

4. Mkionana anazima simu... Maana ya anakuficha mengi sana ambayo hataki ujue... (hakuna mapenzi)

5. Anadai atakuoa... Ni uongo.. Anakutumia/ mnatumiana. (hakuna mapenzi)

6. Kwa matendo yake ni player mkubwa sana.. Haupo peke yako mmepangwa foleni kila mtu anasiku zake na muda wake...

7. Do it for your own risk. Do it for the sake of sex, shopping na mambo madogo madogo... Follow your heart ila inaonekana umesahau to carry your brain with you.




Cc: mahondaw
 
Daaah nacheka kama mazuri vile...
1. Mitoko ni kwa tahadhari ya juu sana msije mkaonekana... Na nani?? (hakuna mapenzi)

2. Utasemaje siyo muongo mungo wakati number 1 tayari ni doa mnavichana... Ili iweje?? (hakuna mapenzi)

3. Yupo busy sana.. Hapigi simu siku nzima. Visingizio kibao vya i will call you back. Tunarudi kwanye number 2. Tayari ni muongo muongo... Kwa maelezo yako siyo kweli yupo busy ni matter of priority... Siku nzima hata message??? (hakuna mapenzi)

4. Mkionana anazima simu... Maana ya anakuficha mengi sana ambayo hataki ujue... (hakuna mapenzi)

5. Anadai atakuoa... Ni uongo.. Anakutumia/ mnatumiana. (hakuna mapenzi)

6. Kwa matendo yake ni player mkubwa sana.. Haupo peke yako mmepangwa foleni kila mtu anasiku zake na muda wake...

7. Do it for your own risk. Do it for the sake of sex, shopping na mambo madogo madogo... Follow your heart ila inaonekana umesahau to carry your brain with you.




Cc: mahondaw

Lol umenichekesha kweli mylove dash dash dash hakuna mapenzi dash dash dash hakuna mapenzi
Ofcourse mtoa mada tayari keshazama kwahuyo mtu na keshamuelewa vilevile
The problem nikwamba kaacha akili nyuma
 
Nikiwa katika kipindi kigumu cha kuwa peke yangu na vishawishi vingi

Kuna mheshimiwa mmoja Kijana ni rafiki yangu tulikutana nje ya nchi wote tukiwa safarini mawasiliano ndiyo yakaanzia hapo.
Amekuwa ni mtu mwema kwangu kwa kipindi hiki maana mwanzo wa kufahamiana sikupenda ukaribu nae kivile ukicheki nilikuwa nimeshazama kwa the x guy ile ya sanaa.nikawa nampotezea na kumkwepa.

Siku za karibuni nikajisogeza kwake baada ya kuwa lonely sana..jamaa akafurahi shopping anasimamia sana mitoko ni kwa tahadhari ya hali ya juu tusijeonekana (Jamaa ana mchumba na mtoto juu)
Ameniahidi mambo mengi sana na anatimiza siyo muongo muongo akisema no ni no kweli.
Tatizo moja tu ni kwamba yupo busy anaweza asipige simu whole day mara nipo bungeni...nina kikao i wll call back kiukweli yupo busy sana sana pia hayupo romantic na nilivyozoeshwaga.

Ila tukionana anazima simu zake ananisikiliza na mie namsikiliza.
Anadai atanioa. Mengine niachane nayo anajua yeye mwenyewe

Ananipenda na ananiamini sana it seems siyo player. Nawaza nimpende japo teyari ndo hivyo tena.naogopa nisijemuweka moyoni nikaja kujuta tena.

Wakubwa kama una ushauri juu ya hali hii nisaidie.
Matusi hapana
Baada ya kufanyiwa shopping ukaona una pendwa?? Wangapi anawafanyia shopping ?? Kwanza usha sema anamchuma
 
Back
Top Bottom