Ushauri wenu wakuu

Ushauri wenu wakuu

Nipe nafasi hiyo kisha kwa kibosile tule pesa tu sie.. Maisha mtelezoo kama tumekanyaga ganda la ndizi alafu tupo kitonga.. Watatuokotea kwa madiba
Sipendi kuudanganya moyo nikipenda napenda kama sikupendi nakwambia ondoka
 
Kwani haujui kuigiza mkuu.

Nenda bwana kwanza ni mbunge wa chama gani maana kuna wabunge wa vyama fulani masnitch.
Hahah sijasoma Sanaa mie apo kwa chama achana napo
 
Avatar yako hb wewe mwenyewe halisi utakua hb zaidi

Weuweee kwangu ungekula za uso na threads mia kidogo ungenianzishia. Bora umebadilika vizuri
Hivi mimi HB kumbe?

Haya kaweke vilike hivyo sema sasa hivi nimebadilika 2015 ilikuwa ke akinilike naenda kumtongoza.
 
Aah kwa hio unadhan ningekukubali wakati post moja una like zaidi ya kumi ooh hooo si kujiteka makusudi huko
Ningekupenda wewe ohooo. Hadi malaika wa kheri wangesifu kwa mapambio.

Sasa hizo like wengine si unakuta mashoga zako..dada.. mashemeji.. binamu..rafiki zake na rafiki zake rafiki yangu.
 
Nikiwa katika kipindi kigumu cha kuwa peke yangu na vishawishi vingi

Kuna mheshimiwa mmoja Kijana ni rafiki yangu tulikutana nje ya nchi wote tukiwa safarini mawasiliano ndiyo yakaanzia hapo.
Amekuwa ni mtu mwema kwangu kwa kipindi hiki maana mwanzo wa kufahamiana sikupenda ukaribu nae kivile ukicheki nilikuwa nimeshazama kwa the x guy ile ya sanaa.nikawa nampotezea na kumkwepa.

Siku za karibuni nikajisogeza kwake baada ya kuwa lonely sana..jamaa akafurahi shopping anasimamia sana mitoko ni kwa tahadhari ya hali ya juu tusijeonekana (Jamaa ana mchumba na mtoto juu)
Ameniahidi mambo mengi sana na anatimiza siyo muongo muongo akisema no ni no kweli.
Tatizo moja tu ni kwamba yupo busy anaweza asipige simu whole day mara nipo bungeni...nina kikao i wll call back kiukweli yupo busy sana sana pia hayupo romantic na nilivyozoeshwaga.

Ila tukionana anazima simu zake ananisikiliza na mie namsikiliza.
Anadai atanioa. Mengine niachane nayo anajua yeye mwenyewe

Ananipenda na ananiamini sana it seems siyo player. Nawaza nimpende japo teyari ndo hivyo tena.naogopa nisijemuweka moyoni nikaja kujuta tena.

Wakubwa kama una ushauri juu ya hali hii nisaidie.
Matusi hapana

Tukishamaliza kuhangaika kumsaka Ndugu yetu Kipenzi Roma Mkatoliki tutakuja huku kukupa majibu yako ' mujarab ' kabisa. Vuta ' subra ' Wewe ' penda penda '.
 
Back
Top Bottom