Ray waniache
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 737
- 507
duuuh pole sana
Sent from my Samsung galaxy- S7 edge using Jamiiforum mobile App
Sent from my Samsung galaxy- S7 edge using Jamiiforum mobile App
Kwani mtoto si anaishi na mamake jamani... Hata kama utatoa kwa ajili ya mtoto, lazima mamake afaidi kwa namna mmoja... Ndo maana nikasema hilo HalikwepekiUstawi Wa jamii wao wanasemaje, ni lazima nitoe matumizi ya wote wawili?
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Maserati mama yangu nilishamzika
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
samahani sana. ww na hyo wote hamna akili. Halaf story yko haina uhalisia pumbavu zakoHabari wakuu
Kuna dada mmoja nilikuwa naishi nae kama mwaka bila kufunga ndoa Yale mapenzi ya sogea tuishi. Kwa bahati nzuri akapata mimba na kujifungua mtoto ingawa kiukweli mimi sikuwa na nia ya kuishi nae baada ya kuwa tabia zake ni za ovyo sana.
Siku moja nilikuta mazungumzo ya kurekodiwa ya kimapenzi kati yake na mwanaume ktk simu yake. Pia niliwahi kumsikia akiongea na hawara yake ktk simu.
Baada ya mambo kuwa hivyo nikaacha kila kitu na kuamua kupanga sehemu nyingine ila bado nahudumia kila kitu kuanzia chakula, nalipa kodi na mahitaji mengine ya mtoto. Ili mtoto asipate shida nimeajiri house girl baada ya yeye kuwa anazurura
Nina miaka 2 sasa sifanyi nae mapenzi na yeye huondoka na kurudi muda anaotaka. Siku nyingine mfano leo analala huko huko anarudi asubuhi.
Kinachoniuma ni mimi kumlipia kodi kumlisha na bado dharau hizi anazoonyesha. Anasema mtoto atamgawa na kumpa mwanaume mwingine na mimi sipendi mwanangu apate shida. Yeye hawezi tunza mtoto maana hata familia yao ni balaa tupu.
Wakuu nishaurini namna ya kumuokoa mtoto na mimi kuishi kwa furaha
Mchukue mtoto ili uepuke usumbufuHabari wakuu
Kuna dada mmoja nilikuwa naishi nae kama mwaka bila kufunga ndoa Yale mapenzi ya sogea tuishi. Kwa bahati nzuri akapata mimba na kujifungua mtoto ingawa kiukweli mimi sikuwa na nia ya kuishi nae baada ya kuwa tabia zake ni za ovyo sana.
Siku moja nilikuta mazungumzo ya kurekodiwa ya kimapenzi kati yake na mwanaume ktk simu yake. Pia niliwahi kumsikia akiongea na hawara yake ktk simu.
Baada ya mambo kuwa hivyo nikaacha kila kitu na kuamua kupanga sehemu nyingine ila bado nahudumia kila kitu kuanzia chakula, nalipa kodi na mahitaji mengine ya mtoto. Ili mtoto asipate shida nimeajiri house girl baada ya yeye kuwa anazurura
Nina miaka 2 sasa sifanyi nae mapenzi na yeye huondoka na kurudi muda anaotaka. Siku nyingine mfano leo analala huko huko anarudi asubuhi.
Kinachoniuma ni mimi kumlipia kodi kumlisha na bado dharau hizi anazoonyesha. Anasema mtoto atamgawa na kumpa mwanaume mwingine na mimi sipendi mwanangu apate shida. Yeye hawezi tunza mtoto maana hata familia yao ni balaa tupu.
Wakuu nishaurini namna ya kumuokoa mtoto na mimi kuishi kwa furaha
Nafatilia story zko nyingi za uongo mkuu. Kajiunge na shigongoMkuu
Naamini ktk kukosorewa pia wala sina tatizo Na mtizamo wako
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Mpeleke kwa bibi ake atakua katika mikono Salama kabisaMtoto nitamlea Na housegirl? Sina wife
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Well said mkuuMwite na yeye tumsikie kwanza maana wanaume mkimchoka mtu lazima mtafute sababu.
Habari wakuu
Kuna dada mmoja nilikuwa naishi nae kama mwaka bila kufunga ndoa Yale mapenzi ya sogea tuishi. Kwa bahati nzuri akapata mimba na kujifungua mtoto ingawa kiukweli mimi sikuwa na nia ya kuishi nae baada ya kuwa tabia zake ni za ovyo sana.
Siku moja nilikuta mazungumzo ya kurekodiwa ya kimapenzi kati yake na mwanaume ktk simu yake. Pia niliwahi kumsikia akiongea na hawara yake ktk simu.
Baada ya mambo kuwa hivyo nikaacha kila kitu na kuamua kupanga sehemu nyingine ila bado nahudumia kila kitu kuanzia chakula, nalipa kodi na mahitaji mengine ya mtoto. Ili mtoto asipate shida nimeajiri house girl baada ya yeye kuwa anazurura
Nina miaka 2 sasa sifanyi nae mapenzi na yeye huondoka na kurudi muda anaotaka. Siku nyingine mfano leo analala huko huko anarudi asubuhi.
Kinachoniuma ni mimi kumlipia kodi kumlisha na bado dharau hizi anazoonyesha. Anasema mtoto atamgawa na kumpa mwanaume mwingine na mimi sipendi mwanangu apate shida. Yeye hawezi tunza mtoto maana hata familia yao ni balaa tupu.
Wakuu nishaurini namna ya kumuokoa mtoto na mimi kuishi kwa furaha
Huu pia unatoshaDah, nakuonea huruma, ila naomba nikulaumu kidogo, kwa nini unazaa na mtu kabla hujaamua? mtoto atapata tabu sasa, kama anahudumia mwanae wewe usitafute heshima mwache aishi naye, ila kama hapendi mtoto inategemea na umri, fuata utaratibu wa sheria kumchukua, kama umeoa, mtoto kulelewa na mtu ni changamoto nyingine bora kwa mama yake, mi sina ushauri ndugu ...