CHOKAMBOVU
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 856
- 584
Tenaaaa. Mmh jamani si kweli kabisa
Kweli tupuuTenaaaa. Mmh jamani si kweli kabisa
Mwite na yeye tumsikie kwanza maana wanaume mkimchoka mtu lazima mtafute sababu.
Mkuu umenipa moyo Na kunijenga kimtizamo huo aisee ni njia bora ingawa inabidi umsahau mtoto kwa mudamkuu kazi ndogo,mimi nimewahi kukutana na scenario kama hiyo,nilichokifanya ni kupotea kimatumizi,kuanzia yeye na mwanae,mbn akili ilimkaa sawa,sharti langu lilikuwa sihudumii mtoto wala mama yake,akitaka anipe mwanangu tamlea mwenyewe,akajua masikhara,nilipotea kama miaka mitatu hivi bila kujua habari yeyote kuhusu mwanangu,alibana wee mwishoni akili ilivyomkaa sawa alikuja kuomba poo,akanipa mtoto kiulaiiini na baraka zote,coz dogo alishakuwa kaanza kujitambua nikampeleka boarding kutokana na aina ya shughuli zangu za kutokutulia sehemu moja kwa muda mrefu,kikubwa nilimkabidhi mungu jukumu la kumuongoza kiroho,akili na mwili,dogo saiv yupo darasa la 7 na mtihani wa wilaya kashika namba moja,na ninaamini na mtihani wa taifa pia atafanya vizuri,mama yake hajawahi kumwona tena,nataka aje kumtafuta mwenyewe kama mungu atamjalia afike salama na aanze maisha yake,pole sana mkuu,nilivosoma nimeona kama nimeandika mimi aisee,kweli duniani sometimes matatizo yanafanana!
Mkuu maneno yako makali sanaNdiyo matokeo ya ngono zisizokuwa na future plan.
Ulipokuwa unagonoka ulijua mtoto hatazaliwa!?
Na akizaliwa Kama huishi/hutaki kumuoa huyo mwanamke unadhania nani atamtunza!?
Wakati unagonoka ulikuwa hujui kuwa familia yao yote kuwa ni balaa!?
Beba majukumu yako yote, ulifurahia kula mto ngono sasa unaanza kulialia!
Any way, tunza familia yako acha porojo.
Habari wakuu
Kuna dada mmoja nilikuwa naishi nae kama mwaka bila kufunga ndoa Yale mapenzi ya sogea tuishi. Kwa bahati nzuri akapata mimba na kujifungua mtoto ingawa kiukweli mimi sikuwa na nia ya kuishi nae baada ya kuwa tabia zake ni za ovyo sana.
Siku moja nilikuta mazungumzo ya kurekodiwa ya kimapenzi kati yake na mwanaume ktk simu yake. Pia niliwahi kumsikia akiongea na hawara yake ktk simu.
Baada ya mambo kuwa hivyo nikaacha kila kitu na kuamua kupanga sehemu nyingine ila bado nahudumia kila kitu kuanzia chakula, nalipa kodi na mahitaji mengine ya mtoto. Ili mtoto asipate shida nimeajiri house girl baada ya yeye kuwa anazurura
Nina miaka 2 sasa sifanyi nae mapenzi na yeye huondoka na kurudi muda anaotaka. Siku nyingine mfano leo analala huko huko anarudi asubuhi.
Kinachoniuma ni mimi kumlipia kodi kumlisha na bado dharau hizi anazoonyesha. Anasema mtoto atamgawa na kumpa mwanaume mwingine na mimi sipendi mwanangu apate shida. Yeye hawezi tunza mtoto maana hata familia yao ni balaa tupu.
Wakuu nishaurini namna ya kumuokoa mtoto na mimi kuishi kwa furaha
Kosa kubwa unalolifanya ni la kukaa mbali na familia yako, wanaume hatususi ila huwa tunakomaa mpaka dakika 90,ukikaa mbali nae unaongeza msongo wa mawazo na utazidi kuwa katika hali mbaya zaidi na usitegemee atakuheshimu kwasababu umeikimbia familia, halafu wewe mwenyewe hujasimama imara, pia usihusishe mambo yake na ya familia yake, muweke kati be like aman not aboy mwanamke anapenda mwanume mwenye misimamo. Mwambie wee tulia....Mkuu nimepanga sehemu ingine umbali Wa dakika 10 pia huwa nakula hapo ili kupunguza gharama Ila silali hapo
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Hujanipata mkuu Mimi sio mke wangu nimezaa nae tuKosa kubwa unalolifanya ni la kukaa mbali na familia yako, wanaume hatususi ila huwa tunakomaa mpaka dakika 90,ukikaa mbali nae unaongeza msongo wa mawazo na utazidi kuwa katika hali mbaya zaidi na usitegemee atakuheshimu kwasababu umeikimbia familia, halafu wewe mwenyewe hujasimama imara, pia usihusishe mambo yake na ya familia yake, muweke kati be like aman not aboy mwanamke anapenda mwanume mwenye misimamo. Mwambie wee tulia....
Ulitaka aingiaje?Ndio ubaya wa kuingia kichwa kichwa mana uliingia pasipo ingilika. Pole mkuu.
Hofu yangu kaka utapunguza Hatari ya bintiyo kuharibikiwa kama utamtoa hapo.....hivi na haupo what if anaingiza wanaume ana lala nao huku bintiyo anaanza kuona....Wa kike ana miaka miwili Na miez 4
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
wewe unaishi wapi?Mkuu ukiona chozi la mwanaume ujue yamenikuta maana mengine nimemezea
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app