Ushauri wenu wakuu nimefikwa

Ushauri wenu wakuu nimefikwa

mkuu kazi ndogo,mimi nimewahi kukutana na scenario kama hiyo,nilichokifanya ni kupotea kimatumizi,kuanzia yeye na mwanae,mbn akili ilimkaa sawa,sharti langu lilikuwa sihudumii mtoto wala mama yake,akitaka anipe mwanangu tamlea mwenyewe,akajua masikhara,nilipotea kama miaka mitatu hivi bila kujua habari yeyote kuhusu mwanangu,alibana wee mwishoni akili ilivyomkaa sawa alikuja kuomba poo,akanipa mtoto kiulaiiini na baraka zote,coz dogo alishakuwa kaanza kujitambua nikampeleka boarding kutokana na aina ya shughuli zangu za kutokutulia sehemu moja kwa muda mrefu,kikubwa nilimkabidhi mungu jukumu la kumuongoza kiroho,akili na mwili,dogo saiv yupo darasa la 7 na mtihani wa wilaya kashika namba moja,na ninaamini na mtihani wa taifa pia atafanya vizuri,mama yake hajawahi kumwona tena,nataka aje kumtafuta mwenyewe kama mungu atamjalia afike salama na aanze maisha yake,pole sana mkuu,nilivosoma nimeona kama nimeandika mimi aisee,kweli duniani sometimes matatizo yanafanana!
Mkuu umenipa moyo Na kunijenga kimtizamo huo aisee ni njia bora ingawa inabidi umsahau mtoto kwa muda

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Ndiyo matokeo ya ngono zisizokuwa na future plan.
Ulipokuwa unagonoka ulijua mtoto hatazaliwa!?
Na akizaliwa Kama huishi/hutaki kumuoa huyo mwanamke unadhania nani atamtunza!?

Wakati unagonoka ulikuwa hujui kuwa familia yao yote kuwa ni balaa!?

Beba majukumu yako yote, ulifurahia kula mto ngono sasa unaanza kulialia!

Any way, tunza familia yako acha porojo.
Mkuu maneno yako makali sana

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Woyowoyo umeshapata kpya cha zamani kinanukaa
 
  • Thanks
Reactions: B40
Nenda kwao ulipie kumkubali MTT, halafu mchukue,mwanamke mwache huru

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: B40
Nenda kwao ulipie kumkubali MTT, halafu mchukue,mwanamke mwache huru

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Nilipie nn mkuu

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kwa wazazi wake unahamika rasmi? Kama sio Na mwanamke humuoi Na unataka kuchukua mtoto lazima ulipe ndo umchukue rasmi

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: B40
Habari wakuu
Kuna dada mmoja nilikuwa naishi nae kama mwaka bila kufunga ndoa Yale mapenzi ya sogea tuishi. Kwa bahati nzuri akapata mimba na kujifungua mtoto ingawa kiukweli mimi sikuwa na nia ya kuishi nae baada ya kuwa tabia zake ni za ovyo sana.

Siku moja nilikuta mazungumzo ya kurekodiwa ya kimapenzi kati yake na mwanaume ktk simu yake. Pia niliwahi kumsikia akiongea na hawara yake ktk simu.

Baada ya mambo kuwa hivyo nikaacha kila kitu na kuamua kupanga sehemu nyingine ila bado nahudumia kila kitu kuanzia chakula, nalipa kodi na mahitaji mengine ya mtoto. Ili mtoto asipate shida nimeajiri house girl baada ya yeye kuwa anazurura

Nina miaka 2 sasa sifanyi nae mapenzi na yeye huondoka na kurudi muda anaotaka. Siku nyingine mfano leo analala huko huko anarudi asubuhi.

Kinachoniuma ni mimi kumlipia kodi kumlisha na bado dharau hizi anazoonyesha. Anasema mtoto atamgawa na kumpa mwanaume mwingine na mimi sipendi mwanangu apate shida. Yeye hawezi tunza mtoto maana hata familia yao ni balaa tupu.

Wakuu nishaurini namna ya kumuokoa mtoto na mimi kuishi kwa furaha


Boss huyo mtoto wako ni wakike au wakiume halafu ana umri gani
 
  • Thanks
Reactions: B40
Mkuu nimepanga sehemu ingine umbali Wa dakika 10 pia huwa nakula hapo ili kupunguza gharama Ila silali hapo

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Kosa kubwa unalolifanya ni la kukaa mbali na familia yako, wanaume hatususi ila huwa tunakomaa mpaka dakika 90,ukikaa mbali nae unaongeza msongo wa mawazo na utazidi kuwa katika hali mbaya zaidi na usitegemee atakuheshimu kwasababu umeikimbia familia, halafu wewe mwenyewe hujasimama imara, pia usihusishe mambo yake na ya familia yake, muweke kati be like aman not aboy mwanamke anapenda mwanume mwenye misimamo. Mwambie wee tulia....
 
  • Thanks
Reactions: B40
Lakini pia wanawake wanachangamoto zao ukikutana na kichwa kibovu aisehhh utaona dunia nzima inakuangukia limzigo..... Hakuna utakachofanya kitaenda
 
Kosa kubwa unalolifanya ni la kukaa mbali na familia yako, wanaume hatususi ila huwa tunakomaa mpaka dakika 90,ukikaa mbali nae unaongeza msongo wa mawazo na utazidi kuwa katika hali mbaya zaidi na usitegemee atakuheshimu kwasababu umeikimbia familia, halafu wewe mwenyewe hujasimama imara, pia usihusishe mambo yake na ya familia yake, muweke kati be like aman not aboy mwanamke anapenda mwanume mwenye misimamo. Mwambie wee tulia....
Hujanipata mkuu Mimi sio mke wangu nimezaa nae tu

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Wa kike ana miaka miwili Na miez 4

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Hofu yangu kaka utapunguza Hatari ya bintiyo kuharibikiwa kama utamtoa hapo.....hivi na haupo what if anaingiza wanaume ana lala nao huku bintiyo anaanza kuona....

epusha Hatari hiyo sababu kama wife huko kwao kuna tatizo hilo la prostitute pengine nae alikuwa muhanga kwa aliyoyaona wakati mdogo Kwa nduguze

Mlioana kanisani au mliamua kuishi pamoja tu?

Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: B40
Daaah kweli nimemini ukiona watu wameishi muda mrefu kwenye mahusiano ujue mmoja kajifanya mjinga

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: B40
Back
Top Bottom