Pole mkuu. Hii hali naifahamu vizuri. Tafuta namna ya kumlea mwanao fastaAsante ingawa mama sina
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Pole mkuu. Hii hali naifahamu vizuri. Tafuta namna ya kumlea mwanao fastaAsante ingawa mama sina
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu nitafanyia kaziSimama kama mwanaume
either force kumchukua mtt uish nae mwenyewe aki lazimisha msusie hata kwa miezi mitatu lazma atakutafuta hv viumbe vya kike vikijua udhaifu wako basi umekwisha
hapo ashajua mtt ndo udhaifu wako hupindui chochote
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
tafuta njia ingine ambako mtoto atalelewa vizuriMama angu alifariki Rwanda genocide
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
nafikili hauko serious bro Chukua mwanao umleeHabari wakuu
Kuna dada mmoja nilikuwa naishi nae kama mwaka bila kufunga ndoa Yale mapenzi ya sogea tuishi. Kwa bahati nzuri akapata mimba na kujifungua mtoto ingawa kiukweli mimi sikuwa na nia ya kuishi nae baada ya kuwa tabia zake ni za ovyo sana.
Siku moja nilikuta mazungumzo ya kurekodiwa ya kimapenzi kati yake na mwanaume ktk simu yake. Pia niliwahi kumsikia akiongea na hawara yake ktk simu.
Baada ya mambo kuwa hivyo nikaacha kila kitu na kuamua kupanga sehemu nyingine ila bado nahudumia kila kitu kuanzia chakula, nalipa kodi na mahitaji mengine ya mtoto. Ili mtoto asipate shida nimeajiri house girl baada ya yeye kuwa anazurura
Nina miaka 2 sasa sifanyi nae mapenzi na yeye huondoka na kurudi muda anaotaka. Siku nyingine mfano leo analala huko huko anarudi asubuhi.
Kinachoniuma ni mimi kumlipia kodi kumlisha na bado dharau hizi anazoonyesha. Anasema mtoto atamgawa na kumpa mwanaume mwingine na mimi sipendi mwanangu apate shida. Yeye hawezi tunza mtoto maana hata familia yao ni balaa tupu.
Wakuu nishaurini namna ya kumuokoa mtoto na mimi kuishi kwa furaha
MkuuKuna jambo hutaki kusema hapq
"People who failed to achieve something in life think social media is a popularity contest to score cheap points." ~ Mzilikazi wa Afrika
mkuu kazi ndogo,mimi nimewahi kukutana na scenario kama hiyo,nilichokifanya ni kupotea kimatumizi,kuanzia yeye na mwanae,mbn akili ilimkaa sawa,sharti langu lilikuwa sihudumii mtoto wala mama yake,akitaka anipe mwanangu tamlea mwenyewe,akajua masikhara,nilipotea kama miaka mitatu hivi bila kujua habari yeyote kuhusu mwanangu,alibana wee mwishoni akili ilivyomkaa sawa alikuja kuomba poo,akanipa mtoto kiulaiiini na baraka zote,coz dogo alishakuwa kaanza kujitambua nikampeleka boarding kutokana na aina ya shughuli zangu za kutokutulia sehemu moja kwa muda mrefu,kikubwa nilimkabidhi mungu jukumu la kumuongoza kiroho,akili na mwili,dogo saiv yupo darasa la 7 na mtihani wa wilaya kashika namba moja,na ninaamini na mtihani wa taifa pia atafanya vizuri,mama yake hajawahi kumwona tena,nataka aje kumtafuta mwenyewe kama mungu atamjalia afike salama na aanze maisha yake,pole sana mkuu,nilivosoma nimeona kama nimeandika mimi aisee,kweli duniani sometimes matatizo yanafanana!Mkuu hataki kunipa mtoto anasema nikimuacha sina changu
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Mnatuonea sana wanaumeMwite na yeye tumsikie kwanza maana wanaume mkimchoka mtu lazima mtafute sababu.
Mnatuonea sana wanaume[/QUOTE wala mmezidi tamaa.
Kwa sheria ipi?Mchukue mtoto mpeleke kwa mama yako,
Kwisha kazi