Hahaa. Ndio tuseme alikosa jicho la tatu. Si eti eee.Hakujua kama hapaingiliki mpka alipoingia

Ila kama funzo ameshalipata sasa afanye tu utaratibu ajinasue mana sio kwa gharama azipatazo ambazo nyingine hazikutakiwa kuwepo.Kabisa mama moyo wa huruma haujawah kumuacha mwanaume mkware salama
ThanksNenda ustawi wa jamii, waambie wakupe mtoto wako mama hana muda wa kumuhudumia yeye yuko busy kuzurura nje na kumuacha mtoto na house girl, waambie anakunywa pombe kupitiliza haweza hata kumuangalia mtoto.
Ndugu utapewa mtoto wako mchana kweupe
Hapo sawa kwani ushauri wako una ukakasi. Mtoto hulelewa na mama hata akiwa ni teja! Mwanaume ni vigumu kulea mtoto, wengi walijaribu ila ni kazi. Mtoto anataka uangalizi 24/7 na sisi ni watafutaji. HG ni HG hawezi kulea kichanga kama mama yake mzazi. Anavyofanya ni sawa ila najua huyo mama bado anampenda jamaa na anamtandika kiboko kwa kupitia kwa mapenzi aliyo nayo kwa mtoto. Kiboko kama hicho nilishawahi kupigwa mpaka mtoto akafikia miaka 12 nikaamua kugive-up. Ni vyema huyu jamaa akakubali kumwachia huyu mtoto huyo mama ila waandikishane ustawi wa jamii kwani huwa akinamama wanageuka wakibanwa na hali na atamshitaki mahakamani kuwa hatunzi mtoto
Very true mamaIla kama funzo ameshalipata sasa afanye tu utaratibu ajinasue mana sio kwa gharama azipatazo ambazo nyingine hazikutakiwa kuwepo.
UuwiiiNenda ustawi wa jamii, waambie wakupe mtoto wako mama hana muda wa kumuhudumia yeye yuko busy kuzurura nje na kumuacha mtoto na house girl, waambie anakunywa pombe kupitiliza haweza hata kumuangalia mtoto.
Ndugu utapewa mtoto wako mchana kweupe
. Uko vizuri mtoto mzuri mwenzangu.vinasaba vyako na vya mtotoNikapime nn
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
) ndio wanafanya hivi sio wanaume.Usemalo ni sahihi ila kumwacha mwanamke angali anakupenda haiwezi kukuacha salama na hasa akiwa na kiumbe chako!Ila kama funzo ameshalipata sasa afanye tu utaratibu ajinasue mana sio kwa gharama azipatazo ambazo nyingine hazikutakiwa kuwepo.
Kwani we unataka ukweli wote au unataka keys of the problems??Thanks
Maserat hilo la kunywa nitakuwa nadanganya au the end justify the means eti
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Mtoto mzuri mwenzangu acha tu, tatizo linapo komaa tafuta any means uweze kukabiliana nalo.Uuwiii![]()
![]()
. Uko vizuri mtoto mzuri mwenzangu.
Ila itakapobidi uongo lazima utumike aisee
Kabisa mkuu na mwisho wake ndio unakuwaga huu mana kwa sasa anachokifanya ni kumkomoa.Usemalo ni sahihi ila kumwacha mwanamke angali anakupenda haiwezi kukuacha salama na hasa akiwa na kiumbe chako!
MkuuHapo sawa kwani ushauri wako una ukakasi. Mtoto hulelewa na mama hata akiwa ni teja! Mwanaume ni vigumu kulea mtoto, wengi walijaribu ila ni kazi. Mtoto anataka uangalizi 24/7 na sisi ni watafutaji. HG ni HG hawezi kulea kichanga kama mama yake mzazi. Anavyofanya ni sawa ila najua huyo mama bado anampenda jamaa na anamtandika kiboko kwa kupitia kwa mapenzi aliyo nayo kwa mtoto. Kiboko kama hicho nilishawahi kupigwa mpaka mtoto akafikia miaka 12 nikaamua kugive-up. Ni vyema huyu jamaa akakubali kumwachia huyu mtoto huyo mama ila waandikishane ustawi wa jamii kwani huwa akinamama wanageuka wakibanwa na hali na atamshitaki mahakamani kuwa hatunzi mtoto
Acha tu ni mateso .....Kabisa mkuu na mwisho wake ndio unakuwaga huu mana kwa sasa anachokifanya ni kumkomoa.
Kabisa mtoto mzuri mwenzangu na huko kwa mama yake atapata malezi yaliyo bora zaidi.Mtoto mzuri mwenzangu acha tu, tatizo linapo komaa tafuta any means uweze kukabiliana nalo.
Mwisho wa siku achukue mtoto wake ampeleke kwa mama ake. Bora hizo ela zikaliwe na mama ake, ambae ni bibi wa mtoto wake