Ushauri wenu wakuu nimefikwa

Ushauri wenu wakuu nimefikwa

Nenda ustawi wa jamii, waambie wakupe mtoto wako mama hana muda wa kumuhudumia yeye yuko busy kuzurura nje na kumuacha mtoto na house girl, waambie anakunywa pombe kupitiliza haweza hata kumuangalia mtoto.
Ndugu utapewa mtoto wako mchana kweupe
 
Nenda ustawi wa jamii, waambie wakupe mtoto wako mama hana muda wa kumuhudumia yeye yuko busy kuzurura nje na kumuacha mtoto na house girl, waambie anakunywa pombe kupitiliza haweza hata kumuangalia mtoto.
Ndugu utapewa mtoto wako mchana kweupe
Thanks
Maserat hilo la kunywa nitakuwa nadanganya au the end justify the means eti

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Hapo sawa kwani ushauri wako una ukakasi. Mtoto hulelewa na mama hata akiwa ni teja! Mwanaume ni vigumu kulea mtoto, wengi walijaribu ila ni kazi. Mtoto anataka uangalizi 24/7 na sisi ni watafutaji. HG ni HG hawezi kulea kichanga kama mama yake mzazi. Anavyofanya ni sawa ila najua huyo mama bado anampenda jamaa na anamtandika kiboko kwa kupitia kwa mapenzi aliyo nayo kwa mtoto. Kiboko kama hicho nilishawahi kupigwa mpaka mtoto akafikia miaka 12 nikaamua kugive-up. Ni vyema huyu jamaa akakubali kumwachia huyu mtoto huyo mama ila waandikishane ustawi wa jamii kwani huwa akinamama wanageuka wakibanwa na hali na atamshitaki mahakamani kuwa hatunzi mtoto
 
  • Thanks
Reactions: B40
Nenda ustawi wa jamii, waambie wakupe mtoto wako mama hana muda wa kumuhudumia yeye yuko busy kuzurura nje na kumuacha mtoto na house girl, waambie anakunywa pombe kupitiliza haweza hata kumuangalia mtoto.
Ndugu utapewa mtoto wako mchana kweupe
Uuwiii . Uko vizuri mtoto mzuri mwenzangu.

Ila itakapobidi uongo lazima utumike aisee
 
Ila kama funzo ameshalipata sasa afanye tu utaratibu ajinasue mana sio kwa gharama azipatazo ambazo nyingine hazikutakiwa kuwepo.
True nahitaji mawazo yenu

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Nitakupa ushauri,ila nimesoma uzi wako mara nne kuna kitu kina kosekana uhalisia. Maneno yangu sio mazuri sana na hii inatokana na jinsi uzi ulivyo nanmaneno makali so univumilie

Kwanza umesema uliishi nae kama mwaka,bila kufunga ndoa it means ulimwokota aidha ulinogewa na penz ukaamua kuvuta ndani,japo sina hakika sana ila ndio inavyoonekana,je unawajua wazaz wake? Kwa nn umeshindwa kujitambua kwa mwaka mzima unaishi na mtu bila process yyte ya kwao??

Pili unasema unalipa billz zote sawa bt je ulitaka nani alipe?na umeshawah kuwaza usipolipa itakuwaje? Unaenda kula pale,halaf hulali kwel unatuona sisi watto kama wewe? Unakuka kila siku then ndio unaenda getto kwako kulala,?? Shame on you boy,unatafuta nn kwake kama umeamua kumwacha? Unaendaje kwa mtu uliemwacha? Kisa mtoto? Unajua je kama analalaga nje kama wewe hulali pale? Umemsikia anaongea na bwana zake still bado unapiga miguu kwake?? Are you insane boy?

Mwambie siwez kulipa bills zako tena kuanzia rent na unamwachia tu hela ya maziwa ya mtoto thats all,huko anakoendaga kulala watamlipia hapo,na usije jidanganya kwamba ww ndio unampa huyo mtoto maisha,mtoto ana maisha yake japo anahitaj malez ya mzaz lakin huwez hta kusogeza dakika moja ya uhai wake,kwa nn uumize kichwa kwa kitu cha kipuuz kama hicho?? Yy anasema atampa mtu mwngine mtoto mwambie sawa,mpe yyte bt still unajua na mtoto kbsa mtoto ni wngu,so akiamua kumpa mwambie sawa mpe tu.


Unadhan wanaume tumekua wajinga hiv mpka unileteee mtoto wako kabsa bila kukuuliza maswal magumu kuhusu mzaz mwenzako?? Wavulana wa dar( ) ndio wanafanya hivi sio wanaume.

Ww kata mguu,achana nae hata mawasiliano yake block kabsa,then acha kutoa matumiz yyte yale halaf umwone atafanya nn baada ya wiki nzima,lakin ww unaenda kwake kila siku na mzigo unabunya mara moja moja halaf unakuja kuleta porojo huku? Bro usijishushe sana,,unatakiwa utii tu bas

Mwsho,binadamu wengi hatujioni na hatutambui tulivyo,biblia inasema hatuon vtu kama vilivyo bali sisi tulivyo,bt umeshaona tabia zako halis? Unajijua unavyofanya? Weka hali hyo ungekua ww ndio mwanamke ungefanyaje? Ww ni malaya,na mwanamke nae malaya so mmekutanana wote mnaonyeshana umwamba so matokeo yake ndo haya. Leo unashindwa kuamua kiume unakua na maamuz ya kivulana kwa nn? Umeamua kuacha acha jumla japo ww ndio utaumia ukikumbuka vile viuno,lakin kwa mustakabal wa maisha yako jifunze kutokana na kosa hili kwan usipojifunza kwa makosa yako kitakachokufata ni mapigo kwako.

Akikujambisha anampa mwanaume mtoto nawe unajamba tu unaogopa,mwambie sawa mpe then utaona moto wake.

Garcias
 
moe afanyeje kama home ana majukumu

watoto watavaaje kama moe hana majukumu

mwenzenu mi ni majukumu majukumu majukumu..........................

YA JAY MO..........................NYIMBO NIMESAHAU JINA

FANYA MAJUKUMU YAKO ACHA KULIA LIA
 
Ila kama funzo ameshalipata sasa afanye tu utaratibu ajinasue mana sio kwa gharama azipatazo ambazo nyingine hazikutakiwa kuwepo.
Usemalo ni sahihi ila kumwacha mwanamke angali anakupenda haiwezi kukuacha salama na hasa akiwa na kiumbe chako!
 
Thanks
Maserat hilo la kunywa nitakuwa nadanganya au the end justify the means eti

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Kwani we unataka ukweli wote au unataka keys of the problems??
Chalii vepe? Nenda kaongope mchana kweupe upewe mtoto wako wewe, umpeleke kwa mama
Unahudumia wanakaza wengine, mtoto wako analetewa mijasho ya mijanaume mingine, mbaya zaidi halali home mtoto anamuacha na house girl, unajua usalama upo kwa hali gani hapo??
Grow up if that's whay you need to hear.
 
Uuwiii . Uko vizuri mtoto mzuri mwenzangu.

Ila itakapobidi uongo lazima utumike aisee
Mtoto mzuri mwenzangu acha tu, tatizo linapo komaa tafuta any means uweze kukabiliana nalo.
Mwisho wa siku achukue mtoto wake ampeleke kwa mama ake. Bora hizo ela zikaliwe na mama ake, ambae ni bibi wa mtoto wake
 
Hapo sawa kwani ushauri wako una ukakasi. Mtoto hulelewa na mama hata akiwa ni teja! Mwanaume ni vigumu kulea mtoto, wengi walijaribu ila ni kazi. Mtoto anataka uangalizi 24/7 na sisi ni watafutaji. HG ni HG hawezi kulea kichanga kama mama yake mzazi. Anavyofanya ni sawa ila najua huyo mama bado anampenda jamaa na anamtandika kiboko kwa kupitia kwa mapenzi aliyo nayo kwa mtoto. Kiboko kama hicho nilishawahi kupigwa mpaka mtoto akafikia miaka 12 nikaamua kugive-up. Ni vyema huyu jamaa akakubali kumwachia huyu mtoto huyo mama ila waandikishane ustawi wa jamii kwani huwa akinamama wanageuka wakibanwa na hali na atamshitaki mahakamani kuwa hatunzi mtoto
Mkuu
Kumuona mtoto anahangaika siwezi,no matter what
Nina uhakika hana jeuri ya kumuhudumia mtoto


Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Mtoto mzuri mwenzangu acha tu, tatizo linapo komaa tafuta any means uweze kukabiliana nalo.
Mwisho wa siku achukue mtoto wake ampeleke kwa mama ake. Bora hizo ela zikaliwe na mama ake, ambae ni bibi wa mtoto wake
Kabisa mtoto mzuri mwenzangu na huko kwa mama yake atapata malezi yaliyo bora zaidi.

Ila mumy wanawake tuna tabu saa nyingine daah.
 
Hujitambui wewe kabisa maelezo yako yanaonesha wewe ni wa hovyo acha uchapiwe
 
Back
Top Bottom