B40
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 820
- 538
- Thread starter
- #161
Hatukuoana alikuja tu kwanguHofu yangu kaka utapunguza Hatari ya bintiyo kuharibikiwa kama utamtoa hapo.....hivi na haupo what if anaingiza wanaume ana lala nao huku bintiyo anaanza kuona....
epusha Hatari hiyo sababu kama wife huko kwao kuna tatizo hilo la prostitute pengine nae alikuwa muhanga kwa aliyoyaona wakati mdogo Kwa nduguze
Mlioana kanisani au mliamua kuishi pamoja tu?
Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app