Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Wasukuma wanasema "Kwigwa kwa mbulu, mpaka mininga mguto=Kenge hasikii, mpaka damu zimtoke masikioni" Waswahili wanasema "Asiyefunza na mamaye, hufunza na ulimwengu" Sasa hivi magamba ndo wanamfunza siasa za maji taka zilivyo! Kwa vile magamba rushwa ni sehemu ya maisha yao, wako tayari waji-expose ili wamuaibishe mmoja anaye pinga rushwa!Huyoy hashauriki ana msimamo mkali