RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 52,588
- 110,610
As long as unanunua nje kwa legal channels TT itahusika. Vinginevyo ndio hivi ubebe dola umpelekee agent cash hapa TzInawezekana hawanunui kwa dealers. Maana mimi ninachofanya mara nyingi ni kwenda bank, hela ambazo kwenye account yangu, nazi transfer kwenda kwenye account ya ki japan then mchezo kwisha.