Na unajua deni hili lina riba? Weekend haikuwa njema, bila ya wewe around, siku huwa haiendi
Mi mzima mpendwa, eye hujambo? Nawe pia uwe na siku njema....nilikumisi sana wikiendi asee.
Babu..sisi hapa tunafurahia ushauri wa aunt Michelle! Naona hiyo mtu....ina tatizo kidogo. Naona hao ndo wanaondelea kuumiza wengine!
Mzima lakini Babu? Naamini ulifurahia weekend yako vizuri na bibi yetu...nakutakia siku njema!
Aisee we mtu!
Kwa hiyo Michelle akinigonga nahamia kwa LD naye akinigonga nakamata Keren akiniletea za kuleta nakamata Dena Amsi huyu naye aspoelewaka nashika Festiledi, kisipoeleweka natafuta mwanajamiiwani...nisipomwelewa napigia simu Wiselady nisiponogewa naweka Prata ndani na hapo bado wapo kina JS, Maty...et el............Damn! Hivi nani alileta hii kitu inaitwa UKIMWI?[/QUOTE]penye red,hilo ndo swali huwa najuuliza,nauchukia huu ugonjwa ni basi tu!
Ngoja mwenyewe aje akusikie
huyo akili yake na roho yake nishaisoma siku nyingi.....muache aendelee kusikiliza muziki wa kikongo tu....l.o.l:wink2:
i appreciate you for this usefull post ingawa ni theoretically posibo but practically ................
i hope time is the best healler of heart break.
Mkuu,
Hapo tupo pamoja ... When the going get tough.. The tough get going!
Usipoteze muda kutafakari mahusiano yanapokwenda mrama .. Chukua Daladala nyingine endelea na safari ... itakusaidia kuepuka foleni na kuchelewa kwenye shughuli zako!
BTW: Utafitifi unaonyesha kuwa UKIMWI umefikia hatua ambayp kitaalamu inaitwa "RECESSIVE"!
Keren_Happunch;
Endelea kutafakari, kesho na kesho kutwa, nitakuona kwenye TV kwa Kakobe, Lwakatare, Mzee wa Hammer, Nabii Kyabushaija, e.t.c au naweza pia kukuta unakesha Hill-Tek au Standard Ubungo au Baracuda Tabata au Meeda Sinza!
Endeleeni kutafakari.... Tutakuwa tunakutana baa tu! halafu mnaaza kutu-hadithia maumivu ya mahusiano yenu wakati mnakunywa Amarula kwa "bill zetu" .. Tafakarini tu!
Orayt tutafanya logistics...wekends zote babu awe araundi yako...OK?Babu... mimi mzima kwa kweli. Yes...weekend bila babu around ilikuwa imepooza.
Asante sana.
Nimekusaidia kupiga mstari hapo.babu nikiondoka mimi si wengine utakuwa nao au ndo yale ya kila mmoja ana umuhimu wake???:wink2:
Heaven forbid.....wewe ni nani nikueleze shida zangu? maisha yamenifundisha si kila binadamu anayepumua aweza kuwa msaada wakati wa shida,mi kwanza mtu wa kwenda kumueleza shida bar si type yangu.....keep dreaming,mimi yote kwa Mungu wangu,nikishindwa sana nina mama na kaka na dada na marafiki wachache wenye busara.......na si kila aendaye bar ana shida na offer za kitoto eti amarula......watu hela ipo,kulipa tunalipa wenyewe....
hata mimi kanigusa sana nikikumbuka nilivyohandle mkasa flani.Namwongezea degree ya Heteroreconcilliation in Planet LoveMichele wewe na mama Terry mnaundugu? duh!!! uko juu dada, umenigusaaaaaaaaaaa
Endeleeni kutafakari.... Tutakuwa tunakutana baa tu! halafu mnaaza kutu-hadithia maumivu ya mahusiano yenu wakati mnakunywa Amarula kwa "bill zetu" .. Tafakarini tu!
Heaven forbid.....wewe ni nani nikueleze shida zangu? maisha yamenifundisha si kila binadamu anayepumua aweza kuwa msaada wakati wa shida,mi kwanza mtu wa kwenda kumueleza shida bar si type yangu.....keep dreaming,mimi yote kwa Mungu wangu,nikishindwa sana nina mama na kaka na dada na marafiki wachache wenye busara.......na si kila aendaye bar ana shida na offer za kitoto eti amarula......watu hela ipo,kulipa tunalipa wenyewe....
Heaven forbid.....wewe ni nani nikueleze shida zangu? maisha yamenifundisha si kila binadamu anayepumua aweza kuwa msaada wakati wa shida,mi kwanza mtu wa kwenda kumueleza shida bar si type yangu.....keep dreaming,mimi yote kwa Mungu wangu,nikishindwa sana nina mama na kaka na dada na marafiki wachache wenye busara.......na si kila aendaye bar ana shida na offer za kitoto eti amarula......watu hela ipo,kulipa tunalipa wenyewe....
Wewe mbona hueleweki??!!! POLE. BTW, naitwa Keren_Happuch, na sio Happunch. Good day!
Dada Michelle...hebu achana na huyu ndugu! Asikuharibie siku yako bana! Remember, never argue with............! Have a blessed day!
Orayt tutafanya logistics...wekends zote babu awe araundi yako...OK?
:cheer2::cheer2:....senkyu babu!