Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,513
- Thread starter
- #41
Gurudumu
Mmmmhhh i think hilo la kusumbua lina-apply both sides,hata wanaume wapo ambao wakijua uko single wana-take advantage ya emotional vulnerability yako kuja kuleta longolongo zao,ni wewe usimame imara na ujue unalofanya human beings are opportunistic.
Kuhusu hilo la chemistry si kila mwanamke anayekufuata kama ilivyo kwa mwanaume anahitaji long term relationship ambayo inahitaji chemistry to sustain,some of them need some fun,and some just a fling ni wajibu wako pia kupima na kuamua as hawakulazimishi.
Mmmmhhh i think hilo la kusumbua lina-apply both sides,hata wanaume wapo ambao wakijua uko single wana-take advantage ya emotional vulnerability yako kuja kuleta longolongo zao,ni wewe usimame imara na ujue unalofanya human beings are opportunistic.
Kuhusu hilo la chemistry si kila mwanamke anayekufuata kama ilivyo kwa mwanaume anahitaji long term relationship ambayo inahitaji chemistry to sustain,some of them need some fun,and some just a fling ni wajibu wako pia kupima na kuamua as hawakulazimishi.
Last edited by a moderator: