Ushauri wangu katika mahusiano yaliyovunjika

Ushauri wangu katika mahusiano yaliyovunjika

mmmm cpu tafadhal badilisha picture yako tangu jana silali naogopa kutafunwa lool...
Ni ushauri mzuri sana, tena sana
Ila tatizo ni wagonjwa wenyewe wako tayari kumezahizo dawa??
Mi nadhani hawa WAGONJWA watapita na kuziangalia tu hizi dawa bila kumeza
 
ooooooooohhh da m,ichelle huyo.....bora useme wewe waambie hao...heeeheehheeehhh:A S 13::A S 13::A S 13:

My dear hadi tukutafute?jana Mpevu kaanzisha thread hapa,watu tunajiuliza kulikoni,naomba tu kwa afya zetu uwe unamuaga walau mmoja wetu....manake wiki nzima na tunajua ulikuwa unaumwa mara mabomu sasa hali ya hofu ilitanda???? hujambo lakini??me missed you,rudisha ule mwandiko basi,ndo identity yako nyingine,so feminine.....!!!
 
heheheheh mwandiko huu eeeh?? haloo..
My dear hadi tukutafute?jana Mpevu kaanzisha thread hapa,watu tunajiuliza kulikoni,naomba tu kwa afya zetu uwe unamuaga walau mmoja wetu....manake wiki nzima na tunajua ulikuwa unaumwa mara mabomu sasa hali ya hofu ilitanda???? hujambo lakini??me missed you,rudisha ule mwandiko basi,ndo identity yako nyingine,so feminine.....!!!
 
mmh sijamuona jamani heee maybe aumwa jaribu kumpm huenda akakujibu.....inshallah awe mzima tena nilisahau kukuuliza mwaendelea vipi mlisharudi honeymoon au bado???na yule ana tabia moja huenda pm yake imejaa usije ukakasirika maana huwa hafuti aweka kumbukumbu hehehehe i'm joking..
umebadilika kidogo but safi......umenionea Hashy jamani? siku ya pili sijui ya tatu simuoni?:decision::decision::rain:
 
We Nilham hapo juu mwandiko wako unamkwaza babu
 
Naona Sredi imekimbia sana, ngoja nianze upya....
 
hehheh upi mmojawapo pink papple.... ngoja niexchange si huyu micchelle kanishawishi nilikuwa nishaacha kitabia hiki...loool,,, najua babu haoni uzuri...na ile miwani kwaniniu huivai jamani??
We Nilham hapo juu mwandiko wako unamkwaza babu
 
Naona Sredi imekimbia sana, ngoja nianze upya....
Ushauri nasaha toka kwa maaskofu wa enzi za dot.com

"If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?"
 
Michelle, ni kweli ulilosema. kuchukua muda na kufikiria uanze vipi uhusiano mpya ni muhimu. Vinginevyo mtu na stress au haraka unaingia uhusiano mpya inaweza kuwa afadhali ulikotoka.
 
mmh sijamuona jamani heee maybe aumwa jaribu kumpm huenda akakujibu.....inshallah awe mzima tena nilisahau kukuuliza mwaendelea vipi mlisharudi honeymoon au bado???na yule ana tabia moja huenda pm yake imejaa usije ukakasirika maana huwa hafuti aweka kumbukumbu hehehehe i'm joking..

Yuko offline hata nikim-PM atajibuje jamani? honeymoon wapi bwana,mwenyewe yuko busy kama nini,baada ya harusi huyo kanikimbia eti kutafuta chakula.....sasa ndo kabisaa simsikii jamani.....i hope he is ok...anaweka kumbukumbu PM za nani jamani,ngoja nitamu wikiliki nipate huyo anayemsumbua my love wangu.....nikikuta za kwako,sina neno....:rain:
 
Michelle, ni kweli ulilosema. kuchukua muda na kufikiria uanze vipi uhusiano mpya ni muhimu. Vinginevyo mtu na stress au haraka unaingia uhusiano mpya inaweza kuwa afadhali ulikotoka.

Mi yamewahi nikuta,niliharibu balaaa Belinda,nilipokuja kaa chini na kutafakari,nikagundua hasira inaondoa reasoning ya mtu kabisaa....unaenda kwa hisia na si kwa akili na busara....thanks!
 
Asante sana sweetheart ushauri mzuri sana uliotoa bure na wa kuzingatia
Be blessed
 
hehheeh ..mie sina neno??? lakini nilishaacha katabia hako cha kumpm long long time ago before money was invited... hehhhe mie ntakusaidia kumsaka usihofu my dear hebu kunywa maji kidogo heeee??
Yuko offline hata nikim-PM atajibuje jamani? honeymoon wapi bwana,mwenyewe yuko busy kama nini,baada ya harusi huyo kanikimbia eti kutafuta chakula.....sasa ndo kabisaa simsikii jamani.....i hope he is ok...anaweka kumbukumbu PM za nani jamani,ngoja nitamu wikiliki nipate huyo anayemsumbua my love wangu.....nikikuta za kwako,sina neno....:rain:
 
kashauriwa na kile kidada cha valentine hehehehe usijemwambia bas.. ni siri eee??

kumbeeehhhh,ndo maana kapoa sana siku hizi,kadada ka valentine kanamtunza...l.o.l....simwambii,ntakuwa namchora tu.....!
 
hehheh upi mmojawapo pink papple.... ngoja niexchange si huyu micchelle kanishawishi nilikuwa nishaacha kitabia hiki...loool,,, najua babu haoni uzuri...na ile miwani kwaniniu huivai jamani??

Mawani yangu imepasuka upande mmoja...naogopa makengeza. Waweza nitumia nyingine?

Si unajua tena:
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
A%20S%20465.gif
true love never die
A%20S%20465.gif
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
 
hehheeh ..mie sina neno??? lakini nilishaacha katabia hako cha kumpm long long time ago before money was invited... hehhhe mie ntakusaidia kumsaka usihofu my dear hebu kunywa maji kidogo heeee??

nitashukuru my dear,yaani nimepungua kilo tatu kati ya arobaini na nane nilizo nazo,Dr kasema am under weight,mwambie kuchelewa kutaniondoa hapa duniani....arudi mapema namsihi......ngoja ninywe maji!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom