Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

Mr Njovu

Member
Mar 15, 2016
44
29
Wasalam aleykum ndugu na jamaa.. twende moja kwa moja kwenye Hoja.

Ninavutiwa miaka mingi sana na hizi Audi a4 na mungu akijalia kabla mwezi haujaisha natarajia kuchukua moja beforward. Wenye elewa na hizi gari mnisaidie mawili matatu je ni gari inayomudu masafa marefu kwakua naishi mwanza na trip zangu ni Dar-Mwanza-Musomo na vip upatikanaji wa speares kwa miakoni mbali na Dar. kwasasa natumia brevis, Natanguliza kheri

NB mafuta sio tatizo wakuu. gari ni hii.

BF510089_6fe85c.jpg
BF510089_7cb253.jpg
 
Namuonaga nayo jamaa mmoja cku nyingi anapga nayo masafa nahic ni gar nzuri mkuu cjajua juu ya spear upatikanaji wake.
 
Wasalam aleykum ndugu na jamaa.. twende moja kwa moja kwenye Hoja.
Ninavutiwa miaka mingi sana na hizi Audi a4 na mungu akijalia kabla mwezi haujaisha natarajia kuchukua moja beforward...
Ukichukua nitafute nitakuletea spare yeyote hadi mwanza. Kwanza ukiitoa tu njoo nikuuzie service parts ufanye service kabla ya kusafiri nayo. Ni gari nzuri sana sijui umechagua engine ipi 2.0fsi au 1.8T au 1.9TDi?
 
Kiroho safi ni gari bora na utalifurahia....magari yote ya mjerumani yametengenezwa kuhimili masafa marefu na hayahitaji matengenezo ya mara kwa mara kulinganisha na magari kutoka nchi zingine. Ushauri wangu ni Audi / BMW / VW are the best
 
Ukichukua nitafute nitakuletea spare yeyote hadi mwanza. Kwanza ukiitoa tu njoo nikuuzie service parts ufanye service kabla ya kusafiri nayo. Ni gari nzuri sana sijui umechagua engine ipi 2.0fsi au 1.8T au 1.9TDi?
Ni 1.9tdi mkuu rrondo
 
Kiroho safi ni gari bora na utalifurahia....magari yote ya mjerumani yametengenezwa kuhimili masafa marefu na hayahitaji matengenezo ya mara kwa mara kulinganisha na magari kutoka nchi zingine. Ushauri wangu ni Audi / BMW / VW are the best
Nashukuru ndugu mara moja moja tuame kuendesha Toyota
 
Gari za mjerumani ni nzuri...ila spea zake ni ghali mno,na upatikanaji wake labda mikoa ya dar na mwanza unaweza ukapata, na ikiwezekana kwa oda...wenye uzoefu zaidi watujuze
 
Back
Top Bottom