Ushauri wa wazo la kibiashara kwa Mwanza, Dodoma na Dar es Salaam

Mzaleee

JF-Expert Member
Dec 16, 2016
1,617
3,030
Wakuu kwema?

Nina mtaji wa million mbili (2m), nimekuja kwenu kama wana jamii nikihitaji mawazo bora ya ujasiliamali kwa mikoa ya Mwanza, Dodoma na Dar es salaam. Mikoa hii nimeichangua nikiwa na maana ya kuwa nipo tiari kufanya biashara moja ya mikoa hiyo sasa ni kufuatana na ubora wa wazo lenyewe ndo litaamua mkoa wa kuchanguliwa kati ya hiyo.

Naamini hapa hakishindikani kitu na nina uhakika nitapata ushauri ulio bora kabisa,basi nikualike wewe uliyeko katika moja ya mikoa tajwa hapo tujumuike katika mjadala huu.

Karibuni na asanteni sana.
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
ushauri mzuri, sina cha kuongezea maana na mm naamini na kuish katika hiloo.
, kila mtu anasema biashara ni ngumu kipnd hiki, ni kweli hatukatai, ila uki bug kwenye kuchagua itakua mara mia zaid, na ukipatia hizo lugha itakua ni adimu kwako

kitu kingne ni matumizi ya internet hasa google, quora na youtube kwenye masuala km hayaa, usipojijengea utaratibu wa kupitia huku kutafta maarifa utajikosesha ving sana bila kujuaa
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
You are intelligent and hard working.
Naunga mkono hoja. Mtoa mada zingatia huu ushauri.
 
ushauri mzuri, sina cha kuongezea maana na mm naamini na kuish katika hiloo.
, kila mtu anasema biahara ni ngumu kipnd hiki, ni kweli hatukatai, ila uki bug kwenye kuchagua itakua mara mia zaid, na kipatia hizo lugha itakua ni adimu kwako

kitu kingne ni matumizi ya internet hasa google, quora na youtube kwenye masuala km hayaa, usipojijenge utaratibu wa kupitia huku kutafta maarifa utajikosesha ving sana bila kujuaa

Kweli kabisa reyzzap
Biashara ni ngumu na ukibugi ukiingia kwenye biashara ambayo umevamia vamia tuu hauijui unafuata mkumbo kisa Fulani unaona anaifanya na anafanikiwa ngoja basi na wewe uifanya utakuwa UMEKWISHA kabisa.

Hapo kwenye matumizi ya internet umegusa penyewe. Tunapaswa tutumie internet kwa mambo ya maendeleo yenye kujenga. Ukipitia google , quora , YouTube naongezea na KUSOMA VITABU utajifunza vitu Vingi sana. Tutumie Internet kwa maendeleo na siyo kusoma habari za udaku.

Pamoja sana mkuu.
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
Wenye Akili wengi hushabikia Man U !
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
Umemaliza kila kitu
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
Kwani umeolewa??
 
Safi sana mkuu kwa kupata wazo la kujiajiri mwenyewe.
Mawazo ya biashara yapo mengi sana lakini siyo yote yatakufaa wewe..

Biashara yoyote ili ifanikiwe inabidi ufanye biashara unayoijua na unayoipenda. Kwa nini nasema hivyo? Ukifanya biashara ambayo hauijui undani wake , inafanyikaje, risk zake itakubidi uwe na hela za kutosha ili uajiri manager atakaye manage kila kitu. Ambapo kwa mtaji wako wa 2M ni ngumu sana.

Ngoja nikupe mfano, hauwezi kufanya biashara ya kuuza nguo kama wewe haupendi mambo ya nguo au mambo ya fasheni. Kwa sababu utajikuta unauza nguo za mwaka 2000 huko na wakati zilishapitwa na wakati sasa hivi ni 2019. Inatakiwa iwe ni kitu unachokipenda hata swaga mpya ikiingia mjini ujue kabisa.

Ngoja nijitolee mimi kama mfano, tangu nikiwa mdogo shuleni nilikuwa napenda sana kusuka watu nywele, nilivyofika secondary kazi ikaendelea kusuka watu maana tulikuwa tunaruhusiwa kusuka. Nilivyofika chuo kikuu sikupata mkopo na niliwaza ni biashara gani ambayo naweza kuifanya nikiwa chuoni huku nasoma pia. Nilishauriwa mambo mengi ya kufanya , wengine wakanishauri hadi kwenye kilimo. Guess what.. Kila biashara niliyofanya ilifeli kabisa ndipo nikagundua nilikuwa najihusisha na vitu ambavyo sivijui na ikapelekea kufanya vibaya.

Akili ilinirudia kwamba Mimi ni Msusi, najua kusuka najua kupamba kumbi za ibada , sherehe nk. Ndipo nikagundua kwamba biashara ya kuuza urembo wa wakina Dada, nywele , lipstick nk hiyo ndiyo itanifaa. Nitauza rasta na pia nitazitumia hizo hizo kusuka wateja watakaokuja kusuka.

Mpaka namaliza chuo mwaka wa tatu tayari nilishafanikiwa kufungua saloon yangu mwenyewe na nikaajiri wafanyakazi. Nimejaribu kujiingiza kwenye biashara nyingine zinafeli feli tuu na kunitia hasara. Mpaka sasa nimeamua nijikite hapo hapo kwa sababu ndiyo biashara pekee ninayoijua vizuri, ninayoipenda na inayofanya vizuri. Na biashara inafanya vizuri na pamoja na kwamba nimeajiriwa ila biashara hiyo ndiyo inanipa jeuri mjini. Naipenda sana na kila siku lazima nigoogle kujua mtindo mpya ulioingia nk.

Hivyo mkuu usiangalie tuu ni wazo gani la biashara, jiangalie wewe jee ni kitu gani unakipenda? Unakijua? Na utaweza kukifanya vizuri na ukifurahia kabisa. Hapo lazima ufanikiwe.

Kama unacho kitu au vitu unavyovipenda, au hata kama unapenda kulima sema ili tujue tunakupa wazo lililo base kwenye mambo hayo.
Nakubali mkuu
 
Nimekaa sehemu zote mbili na niki linganisha na mtaji inakuja list hii ya biashara.

1)Mgahawa (Dodoma)
Sometime nilikuwa nashangaa wafanya Biashara wa Dom wasiofanya hii, kuna sehemu inaitwa Ng'ong'ona wanakula wanafunzi wa Chuo ukiwa serious unapiga pesa hadi utasema....what hell.

2)CarWash (DSM)
Hii ukiweka iliyo serious DSM unatusua Magari mengi then haiitaji mahesabu mengi | Kama utataka hii minipo tayari kukusapoti kuisimamisha hii tunaweza kukaa chini.
 
Back
Top Bottom