pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 50
- 117
Kwa hapa Dar es Salaam au mikoa mingine iliyoo changamka kama Dodoma, Mwanza na Arusha kama mtu ana mtaji wa milioni 4.5 anaweza fanya biashara gani ikatoa asipate bughudhaa ya migambo
Mwaloni biashara gani pale mkuu?Njoo Mwanza uingie mwalon pale front baada ya miezi mitatu utatusimulia magoli ulofunga.
Samaki🤣🤣🤣Mwaloni biashara gani pale mkuu?
Kwa DarKwa hapa Dar es Salaam au mikoa mingine iliyoo changamka kama Dodoma, Mwanza na Arusha kama mtu ana mtaji wa milioni 4.5 anaweza fanya biashara gani ikatoa asipate bughudhaa ya migambo