Ushauri wa simu nzuri kwa bajeti ya shilingi milioni moja

Ushauri wa simu nzuri kwa bajeti ya shilingi milioni moja

FUTURE HUNTER

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
2,103
Reaction score
2,772
Salaam Wakuu,

Naombeni mapendekezo ya simu the best kwa bajeti isiyozidi tsh milioni moja [1,000,000].
Nilikuwa natumia samsung a52 5g kwa bahati mbaya kioo kimeenda.

Vigezo navyozingatia ni storage (8+256) and above ,powerful chip, camera nzuri,kioo,fast charge capacity muonekano.Nimekuwa mdau wa samsung kwa miaka 14 sasa.

Kazi zangu sana sana ni streaming, na mpakuaji wa movies sana yaani kwa ujumla heavy internet user.

Natanguliza shukrani

Chief-Mkwawa Reuben Challe
 
Salaam Wakuu,

Naombeni mapendekezo ya simu the best kwa bajeti isiyozidi tsh milioni moja [1,000,000].
Nilikuwa natumia samsung a52 5g kwa bahati mbaya kioo kimeenda.

Vigezo navyozingatia ni storage (8+256) and above ,powerful chip, camera nzuri,kioo,fast charge capacity muonekano.Nimekuwa mdau wa samsung kwa miaka 14 sasa.

Kazi zangu sana sana ni streaming, na mpakuaji wa movies sana yaani kwa ujumla heavy internet user.

Natanguliza shukrani

Chief-Mkwawa Reuben Challe
Direct upgrade ya simu yako ni A56 5G version ya 256GB ni around 900k hivi.

Kama unataka kubadili upepo simu nyengine ambayo ni nzuri all around ni Vivo V series zao kama V40, V50, V60 etc nazo bei zake ni around 1m na official zipo Tanzania.

Alternative ni Nothing 3A series sema hizi hazipo official ila watu wanauza Tanzania.
 
Direct upgrade ya simu yako ni A56 5G version ya 256GB ni around 900k hivi.

Kama unataka kubadili upepo simu nyengine ambayo ni nzuri all around ni Vivo V series zao kama V40, V50, V60 etc nazo bei zake ni around 1m na official zipo Tanzania.

Alternative ni Nothing 3A series sema hizi hazipo official ila watu wanauza Tanzania.
VIVO sio simu


Over
 
Direct upgrade ya simu yako ni A56 5G version ya 256GB ni around 900k hivi.

Kama unataka kubadili upepo simu nyengine ambayo ni nzuri all around ni Vivo V series zao kama V40, V50, V60 etc nazo bei zake ni around 1m na official zipo Tanzania.

Alternative ni Nothing 3A series sema hizi hazipo official ila watu wanauza Tanzania.
Shukrani, Je ikiwa nataka option ya flagship za miaka ya nyuma ni simu gani itanifaa,japo hofu ni kuvwa kwa hizi used na refurb
 
Salaam Wakuu,

Naombeni mapendekezo ya simu the best kwa bajeti isiyozidi tsh milioni moja [1,000,000].
Nilikuwa natumia samsung a52 5g kwa bahati mbaya kioo kimeenda.

Vigezo navyozingatia ni storage (8+256) and above ,powerful chip, camera nzuri,kioo,fast charge capacity muonekano.Nimekuwa mdau wa samsung kwa miaka 14 sasa.

Kazi zangu sana sana ni streaming, na mpakuaji wa movies sana yaani kwa ujumla heavy internet user.

Natanguliza shukrani

Chief-Mkwawa Reuben Challe
Tafuta Xiaomi 14T au Xiaomi 14T Pro ndio best kwa bei hiyo
Kama unataka midrange za karibuni nunua Samsung Galaxy A56
Lakini pia unaweza kupata Samsung Galaxy S23 (ile plain sio Ultra) ambayo ni bora kuliko zote hapo juu isipokuwa yenyewe imetoka mwaka 2023
 
Shukrani, Je ikiwa nataka option ya flagship za miaka ya nyuma ni simu gani itanifaa,japo hofu ni kuvwa kwa hizi used na refurb
Ni S23 sema hizi flagship za zamani tatizo zinatoka mistari, S23 haieleweki, pengine tatizo likawa sio kubwa kama S22 ila lipo.

Komaa na hizi flagship killer, nyingi zina display za midrange hivyo hazijaathiriwa na hilo tatizo.

Flagship za mwaka jana kama S24 series sijasikia hili tatizo ila nyingi naona kama budget yake itazidi kidogo kama unanunua mpya.
 
Ni S23 sema hizi flagship za zamani tatizo zinatoka mistari, S23 haieleweki, pengine tatizo likawa sio kubwa kama S22 ila lipo.

Komaa na hizi flagship killer, nyingi zina display za midrange hivyo hazijaathiriwa na hilo tatizo.

Flagship za mwaka jana kama S24 series sijasikia hili tatizo ila nyingi naona kama budget yake itazidi kidogo kama unanunua mpya.
Shukrani sana Chief, wacha niingie sokoni.
 
Back
Top Bottom