USHAURI wa kununua Samsung phone

USHAURI wa kununua Samsung phone

Sumbufu sana KOREA VERSION
upande wa software ukitumia OFFICIAL
sms maneno machache
deriver report hakuna
kutuma sms inasumbua
mtandao kama tigo unasumbua data
ikiwa 3G kutuma sms haitaki

ninazikubari kwa uimara na kupokea update kuanzia Display ngumu sana GORILLA ndo udiseme na simu yenyewe mashine jiwe haswa
Korea version ni balaa. Ni mara chache sana unazikuta za kubabaisha. Ila asilimia kubwa zimenyooka.
 
Korea version ni balaa. Ni mara chache sana unazikuta za kubabaisha. Ila asilimia kubwa zimenyooka.
Haiwezi kuwa Korean version bila kuwa refurbished. Na refurbished siku zote ni kubeti. Kuna Mitandao korea ikija hapa hata ussd haina Unaanza kuhangaika na apps kuunga Bando.

Pia inaweza ikawa na matatizo kama Refurb nyengine, Battery, overheat, locked Bootloader etc
 
wakuu mimi nina shida na kioo cha s6 edge kile chenyewe yani
 
Haiwezi kuwa Korean version bila kuwa refurbished. Na refurbished siku zote ni kubeti. Kuna Mitandao korea ikija hapa hata ussd haina Unaanza kuhangaika na apps kuunga Bando.

Pia inaweza ikawa na matatizo kama Refurb nyengine, Battery, overheat, locked Bootloader etc
Mbona mimi natumia na kuuza Samsung za kutoka korea. Sio refub na hazisumbui kwa chochote..
 
Mbona mimi natumia na kuuza Samsung za kutoka korea. Sio refub na hazisumbui kwa chochote..
Kwamba mitandao ya Korea inauza simu Tanzania?

Nchi za wenzetu ambazo zimeendelea Simu zinauzwa na mitandao ya simu kwa mikataba, zinakuwa locked kwa mtandao husika.

Wateja wanapofanya Trade in, ama simu zikiharibika wakirudisha unapata hizo refurbished ambazo zinauzwa. Then ndio zinakuja huku.

Huwezi kugusa Simu mpya ya Korea ikija hapa, maana inakuwa sio official. Simu ya laki 5 itauzwa milioni 1.
 
Kwamba mitandao ya Korea inauza simu Tanzania?

Nchi za wenzetu ambazo zimeendelea Simu zinauzwa na mitandao ya simu kwa mikataba, zinakuwa locked kwa mtandao husika.

Wateja wanapofanya Trade in, ama simu zikiharibika wakirudisha unapata hizo refurbished ambazo zinauzwa. Then ndio zinakuja huku.

Huwezi kugusa Simu mpya ya Korea ikija hapa, maana inakuwa sio official. Simu ya laki 5 itauzwa milioni 1.

Oh! Kwahiyo mkuu hawa akina vodashop na wenyewe simu wanazotuuzia au zile tunapatiwa Kwa kuwa na mikataba nao na zenyewe ni refub? Shukran
 
Sumbufu sana KOREA VERSION
upande wa software ukitumia OFFICIAL
sms maneno machache
deriver report hakuna
kutuma sms inasumbua
mtandao kama tigo unasumbua data
ikiwa 3G kutuma sms haitaki

ninazikubari kwa uimara na kupokea update kuanzia Display ngumu sana GORILLA ndo udiseme na simu yenyewe mashine jiwe haswa
Ni kweli
 
Hizi ni minor things ukilinganisha na ubora na faida za simu kutoka huko.
Maana kama issue ya message unaweza tumia google message ukasolve tatizo la maneno machache na delivery report.
Kuhusu mtandao wa Tigo sijawahi kutana na hii shida so siwezi fahamu vizuri.
Kuhusu mtandao wa tigo ni kweli kuna sehem ukienda kama kuna 3G simu inagoma kabisa,mimi pia simu yangu inanizingua hapo,ila laini nyingine zinakubali.
 
Kuhusu mtandao wa tigo ni kweli kuna sehem ukienda kama kuna 3G simu inagoma kabisa,mimi pia simu yangu inanizingua hapo,ila laini nyingine zinakubali.
Mimi pia changamoto ipo kwenye Samsung yangu ..upande wa Tigo line haisome hata 3g ingawa simu ni 4g,hata SMS sometimes zinakuwa shida kutuma ila laini nyengine zinafanya kazi vizuri
 
Achatu nichukue note 10 plus niagize nje

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
chukua refurb hapa hapa bongo ni nzuri utapewa na 6 month warranty ya kucheck kama inatatizo bei inasimama 750k....pia kama S series ningekushaul uchukue S10 5G ndo nayotukia ipo vizuri sana
 

Attachments

  • Screenshot_20220605-095657_Chrome.jpg
    Screenshot_20220605-095657_Chrome.jpg
    58.4 KB · Views: 57
Mimi pia changamoto ipo kwenye Samsung yangu ..upande wa Tigo line haisome hata 3g ingawa simu ni 4g,hata SMS sometimes zinakuwa shida kutuma ila laini nyengine zinafanya kazi vizuri
sasa ukiambiw upelek mitandao na tigo utaupeleka
 
chukua refurb hapa hapa bongo ni nzuri utapewa na 6 month warranty ya kucheck kama inatatizo bei inasimama 750k....pia kama S series ningekushaul uchukue S10 5G ndo nayotukia ipo vizuri sana
Hyo Refurb s wanasema zinazingua cuz nmeona amazon kuiagiza sio pesa mingi sana

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Oh! Kwahiyo mkuu hawa akina vodashop na wenyewe simu wanazotuuzia au zile tunapatiwa Kwa kuwa na mikataba nao na zenyewe ni refub? Shukran
Voda Ni Genuine sababu ni 1st party yeye ndio ameanza.

Sasa chukulia hio hio situatioon ya Voda. Wewe umeuziwa na vodacom simu XXX kwa mkataba, baada ya mwezi simu imezingua, Voda wanakubadilishia wanakupa Nyengine, Simu yako uliorudisha inatengenezwa inauzwa kama refurb.

Ama Situation nyengine ni Trade in, mfano galaxy s22 imetoka voda wanakwambia Lete s21 na 500,000 tunakupa s22, unapeleka s21 yako voda unapewa s22. Ile s21 voda wanaiuza kama refurb ili warudishe hela yao.

Ndio maana Refurb karibia zote Duniani zinatoka mitandao ya simu, ikiwa Japan utasikia Docomo, Ikiwa Usa utasikia At&T, Sprint, T-Mobile na Kina Verizon, Ikiwa Korea Sk telecom, LG uplus etc.
 
Back
Top Bottom