Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
Mkuu hii simu nimeangalia GSM arena eti haina 4G network ni 3G tuu ni kweli au sijaangalia vizuri tu🤷♂️🤷♂️🤷♂️Na mimi naunga tela Mkuu Redmi note 10, A3x nyingi Samsung wanazingua.
Mkuu hii simu nimeangalia GSM arena eti haina 4G network ni 3G tuu ni kweli au sijaangalia vizuri tu🤷♂️🤷♂️🤷♂️Na mimi naunga tela Mkuu Redmi note 10, A3x nyingi Samsung wanazingua.
Mmh mbona bei ndogo hivi?TZS 461,398.93 19%OFF | [World Premiere In Stock] Global Version Xiaomi Redmi Note 10 Smartphone Snapdragon 678 AMOLED Display 48MP Quad Camera 33W
139.0US $ 34% OFF|[world Premiere In Stock] Global Version Xiaomi Redmi Note 10 Smartphone Snapdragon 678 Amoled Display 48mp Quad Camera 33w - Mobile Phones - AliExpress
Smarter Shopping, Better Living! Aliexpress.coma.aliexpress.com
Mkuu hii simu nimeangalia GSM arena eti haina 4G network ni 3G tuu ni kweli au sijaangalia vizuri tu🤷♂️🤷♂️🤷♂️Na mimi naunga tela Mkuu Redmi note 10, A3x nyingi Samsung wanazingua.
inayo 4g, unless mtu atumie processor za zamani sana, simu zote mpya zina 4g, cha muhimu angalia tu band.Mkuu hii simu nimeangalia GSM arena eti haina 4G network ni 3G tuu ni kweli au sijaangalia vizuri tu🤷♂️🤷♂️🤷♂️
Ok hivi band zipi za 4g kwa Bo gonza kuangalia ninaponunua simu?inayo 4g, unless mtu atumie processor za zamani sana, simu zote mpya zina 4g, cha muhimu angalia tu band.
3, 7, 20 na 40.Ok hivi band zipi za 4g kwa Bo gonza kuangalia ninaponunua simu?
Xiaomi huwa bei zake ni za kawaida sana (affordable) unatoa pesa na unapata simu yenye specs za kuridhisha..Mmh mbona bei ndogo hivi?
Karudie kusomaMkuu hii simu nimeangalia GSM arena eti haina 4G network ni 3G tuu ni kweli au sijaangalia vizuri tu🤷♂️🤷♂️🤷♂️
Nimesoma Mkuu Redmi Note 10 sijaona "4g" labda na wewe soma alafu nieleweshe.Karudie kusoma
gsmarena.com
inayo 4g, unless mtu atumie processor za zamani sana, simu zote mpya zina 4g, cha muhimu angalia tu band.
Umeona hapo wameandika zipo 3, 7, 20 na 40.
Ok sasa nimekupata Chief. ThanksUmeona hapo wameandika zipo 3, 7, 20 na 40.
Wamebadili tu mfumo badala ya kuandika 1800/2600/800/2300
LTE ndiyo 4GNimesoma Mkuu Redmi Note 10 sijaona "4g" labda na wewe soma alafu nieleweshe.View attachment 1760260
Ok nimekupata. ThanksLTE ndiyo 4G
Why unaiuza?Mwenye uhitaji wa chap nimepokea simu yangu leo toka aliexpress redmi note 10 gb 64 nauza kwa tsh laki sita kamili alie na uhitaji anicheki 0693057605 kabla sijaitoa ubikira
Nauza nipate pesaWhy unaiuza?
Ndo ile ulonambia umeifata posta.. Unauza tena daahMwenye uhitaji wa chap nimepokea simu yangu leo toka aliexpress redmi note 10 gb 64 nauza kwa tsh laki sita kamili alie na uhitaji anicheki 0693057605 kabla sijaitoa ubikira
Ndio kawaida yangu sheikheNdo ile ulonambia umeifata posta.. Unauza tena daah