Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,545
- 2,485
Mkuu ushaniacha hapo kwenye odm...anyway nlikua naomba ushauri kuhusu REDMI 10 na REDMI NOTE 10. hapa bei zake pale kariakoo ni 440k na 560k respectively.Kwa location zinatengenezwa China,
Nilichomaanisha hawatengenezi simu zao wenyewe bali kuna Odm anaitwa Wingtech ndio anatengeneza simu za Xiaomi. Wapo pia Odm wengine.
Matumizi yangu ni ya kawaida sana. Yaani social media, calls, text nk. Sio mtu wa games kabisa. Napenda sana CAMERA. Yaani requirements zangu za kununua simu ni Camera na Storage (at least 64gb).
Sasa nimecheki hizi simu, naona redmi 10 ina 50mp huku redmi note 10 ina 48mp.
kwa unavyoona ipi itanifaa hapo. Au simu gani tofauti na hizo hapo juu?
Budget: 350k- 400k. (Nb: hii budget sio static, naweza nikajilipua)