Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,457
- 5,325
Haina tatizo lolote?Nauza nipate pesa
Haina tatizo lolote?Nauza nipate pesa
Una picha zozote umepiga na camera ya note 10 naomba uweke hapa nizioneNote 10 ya moto Sana adi Raha sijutii kuifahamu
Mkuu nje ya mada kidogoProximity sensor imezibwa mkuu ama ina matatizo, Mara nyingi husababishwa na protector kuiziba. Anza na kutoa screen protector safisha pale mbele juu uone kama itasaidia.
Proximity sensor imezibwa mkuu ama ina matatizo, Mara nyingi husababishwa na protector kuiziba. Anza na kutoa screen protector safisha pale mbele juu uone kama itasaidia.
Tv1 ndio nini sijaelewa.Mkuu nje ya mada kidogo
Mimi nipo Zanzibar natumia Aliexpress, lkn nikitaka kununua simu seller weng hawatumi kuja huku labda kuna njia nyengine ya kufanya.
Nimezipenda hizi redmi note 9 tv1¹
Hiyo tv1 imeingia kimakosa.Tv1 ndio nini sijaelewa.
Posta ya Znz ni tofauti na huku?
itakua labda ni masuala ya kodi. amgalia kama kuna parcel forwader, nimegoogle nawaona zan express wapo mlandege, mawakala wa aramex, waulize kama wana shop and ship nao.Hiyo tv1 imeingia kimakosa.
Posta nadhan ni moja lkn cha kushangaza bidhaa nyengine hua hazitumwi huku.
Mfano hiyo link hapo juu jaribu kuweka shipping in Zanzibar utaona.
itakua labda ni masuala ya kodi. amgalia kama kuna parcel forwader, nimegoogle nawaona zan express wapo mlandege, mawakala wa aramex, waulize kama wana shop and ship nao.
Okitakua labda ni masuala ya kodi. amgalia kama kuna parcel forwader, nimegoogle nawaona zan express wapo mlandege, mawakala wa aramex, waulize kama wana shop and ship nao.
Nimenunua redmi note 10 naona imeandikwa made by rising star, made in INDIA halafu ina mambo ya ki hindi hindi sana.Jaribu ku disable Ambient display (Always on display) setting zake unazipata kwenye Google now settings.
Hata China Xiaomi hatengenezi simu.Nimenunua redmi note 10 naona imeandikwa made by rising star, made in INDIA halafu ina mambo ya ki hindi hindi sana.
Nilitegemea kuona made in CHINA by xiaomi
Version naangaliaje ili kujua kama ni global au indianHata China Xiaomi hatengenezi simu.
Cha muhimu ni global version ama version ilitengenezwa kwa ajili ya India?
utaratibu gani mkuu?Global version inakuwa na huduma za Google moja kwa moja VS Chinese version haina huduma za Google. Lakini zote zinashika mitandao vyema.
Ili kuweka huduma za Google kwenye Chinese version kuna utaratibu wa kufuata na mara nyingi huwa inaleta usumbufu kutumia Google apps kwenye Chinese versions.
Nakushauri utumie simu yenye Global version. Maana nina experience ya Redmi K30 4G inazingua sana kutumia Google apps ila vingine vyote viko sawa.
Gsmarena ni ya wa bulgaria, sema majority ya visitors ni wahindi.Version naangaliaje ili kujua kama ni global au indian
Halafu hii gsmarena ni ya wahindi?
Ni kweli haina 4g kwa halotelGsmarena ni ya wa bulgaria, sema majority ya visitors ni wahindi.
Version ya India haina band 7 ya Halotel 4g, kama upo eneo Halotel wana 4g test.
Na ukienda setting Kisha about utaona wanaandika kama ni global ama specific country.
Bila shaka ulichukua SamsungHabari wadau nataka ninunue simu mojawapo kati ya izi samsung a32 au redmi note 10 naomba ushauri nichukue ipi cc Chief-Mkwawa
View attachment 1752328
Bado mkuu nataka nichukue a52 tatizo bei ndefuBila shaka ulichukua Samsung
mkuu kwaio xiaomi zinatengenezwa wapiHata China Xiaomi hatengenezi simu.
Cha muhimu ni global version ama version ilitengenezwa kwa ajili ya India?
Kwa location zinatengenezwa China,mkuu kwaio xiaomi zinatengenezwa wapi