[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio kwa kutishia huko aiiseeeew. Mpaka unahisi itakuwa kweli hiviIkisimama mtanasiana hivi kusoma hujui na picha huoni,wanaume wa Dar mpoje nyie
Asante mkuu, niliitumia hii mbinu vyema kabisa.Tega simu itoe mlio na upokee kisha uongee huku umepagawa kana kwamba kuna msiba nyumbani au kuna dharura kubwa sana. Baada ya hapo utajua umwambie ni nini kimetokea. Kisha jifanye upo stressed sana na huwezi tena hata kugegeda. Hapo atakuliwaza na kuamini hali hiyo imetokana na hiyo taarifa.