Ushauri wa haraka wakuu

Ushauri wa haraka wakuu

Tega simu itoe mlio na upokee kisha uongee huku umepagawa kana kwamba kuna msiba nyumbani au kuna dharura kubwa sana. Baada ya hapo utajua umwambie ni nini kimetokea. Kisha jifanye upo stressed sana na huwezi tena hata kugegeda. Hapo atakuliwaza na kuamini hali hiyo imetokana na hiyo taarifa.
 
Mkuu vipi Mrejesho uliendelea na safari ya Iringa au Uliamua kutumia vidole na Mdomo.... Hahahahahahahahahahaha Muulize Kabila gani

Hahahahahah
 
Tega simu itoe mlio na upokee kisha uongee huku umepagawa kana kwamba kuna msiba nyumbani au kuna dharura kubwa sana. Baada ya hapo utajua umwambie ni nini kimetokea. Kisha jifanye upo stressed sana na huwezi tena hata kugegeda. Hapo atakuliwaza na kuamini hali hiyo imetokana na hiyo taarifa.
Asante mkuu, niliitumia hii mbinu vyema kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom