Ushauri wa haraka wakuu

Ushauri wa haraka wakuu

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,514
Reaction score
3,372
Nipo hapa Lodge flani mitaa ya Sinza, nimeaga naenda Iringa kwenye semina, kumbe Mzee niko hapahapa jiji la Makonda nimejichimbia.

Sasa nipo na Mchepuko ambao ni denti wa Chuo, ameshakula hela zangu za kutosha leo ndio ilikuwa hukumu yake.

Maandalizi yote yameenda poa mpaka dk za mwisho ila sasa sijui tatizo ni nini, babu kagoma kusimama na hii haijawahi kunitokea.

Nimefanya kila namna lakini babu hataki nisaidieni nifanye nini ili huyu mtoto asinishtukie nisije nikaadhirika jamani.
 
Ikisimama mtanasiana hivi kusoma hujui na picha huoni,wanaume wa Dar mpoje nyie
 
Nenda Home Kamuage Vizuri Mkeo... Babu atakua Poa.... Full Fanction. 100%
 
mkague huyo dada kama ameweka kitu chenye ncha kali kichwani mfano sindano au toothspick jifanye unachezea nywele kichomoe faster
 
mkague huyo dada kama ameweka kitu chenye ncha kali kichwani mfano sindano au toothspick jifanye unachezea nywele kichomoe faster
Naomba unielekeze Zaidi Hii ndo kwanza nasikia leo Ndugu... kuhusu kitu chenye ncha kali(sindano nk)
 
Shukuru kwa kila jambo..

Vaa nguo nenda Iringa hata kutembea kisha urudi..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom