Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Kaka akivuruga na watu wakajua Itabidi wamshangae kwa kweli. Swali liko pale, kama ana mke tayari kwa nini aingilie mapenzi ya wenzake?!, that's selfish.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna wanaume wasenge wewe, na huyo mdada akilazimisha kuolewa huyo john anaweza kumuua hata mdogo wake Hlf kesi akampa Jack, ndo maana nimesema aanze kuzoea maumivu ya kuacha mapemaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 


aisee hongera! picha mie haiji jaman ! mie kuna mapenzi mengine nahisg yatanikata stimu !yaan nitaimagine ana kidonda sijui namkanda vile ! yaan dah nakarahika tu ! yaan yote hyo mnatafuta vibes tu !haya nitakuja jaribu lakini had utoe somo tukuelewe wanawake wenzako maana tusijedodaaaaaaaa teh teh !
 
Back
Top Bottom