Ushauri wa haraka: Mpenzi wangu anaolewa

Ushauri wa haraka: Mpenzi wangu anaolewa

ya nini sasa??,unajua ndugu zake watakuwa wanadhani nataka kuwaharibia,mindset za kijinga fulani,sina habari,napiga kazi,jioni napiga uber mpaka saa 6 asubuhi mzigoni kama kawaida....
nenda wewe kapiga ubwabwa...
 
Ushauri wangu ni tulia nyumbani vaa barakoa,tumia maji yanayotiririka nawa na sanitizer,epuka misongamano isiyolazima..
Ukiona haitoshi uwe unapiga nyungu mara tatu kwa siku itakusaidia sana.
Yeah, naunga mkonyo hoja, hii itamfanya awe busy kiasi kwamba atamsahau mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hajalogwa amekuchoka na wewe kubali tu umechokwa tafuta mwingine.
 
Vijana mkiambiwa mtafute pesa huwa mnakuwa wabishi mnashinda gym kutafuta six pack pambana na hali kijana, usijifikirie wewe na upweke wako mfikirie pia yeye na mustakabali wa maisha yake Mwache mwenzio ajaribu maisha mengine.
Comments yako inafanana na avartar yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi pitia situation kama yako mkuu
Nafahamu moyo wako ulivyochoka na huzuni
Unakama wiki tatu mbele za msoto mkubwa,usiku hautopata usingizi,na si ajabu ukapungua mwili
Ila! Nikuhakikishie kua huyo hakupendi
Sababu angekupenda angekuhakikishia kila kitu,angekushika usipotee...angekuonesha njia...wapi upite akikufuata NYUMA
Ila ulidhan anakupenda angekupenda katu asingekubari hata kuwasikiliza wazazi wake( kama alilazimishwa kuolewa)

Mkuu Kama wachangiaji wengine tu kisicho liziki huli!
Mimi mwenzio shingo ilinyookaa twiga ikasome lakin yeye Wala Hana time
Nakushauli kwa Sasa jipe hata kisafari badili mazingira,kutana na wadau wapya fanya kazi
Mkuu tunawazika wapendwa wetu Ila tunasahau nalo litapita



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengine pia anamjua anaye muowa, sema hawezi kukwambia ukweli. Na huo mpango landa umepangwa na mama yake ndio maana amerudi kwao na mambo ndio yakaanza.

Lingine, inawezekana kweli maisha mgumu ndio chanzo cha kukubali kuolewa na mtu mwingine asiye mjua,

Yote kwa yote ndio umesha achwa, huna budi kukubaliana na hali yako mzee baba, zisake na wewe utamsopoa mpenzi wa mtu kilaini

kIongOzI Wa BaaDae
 
Wewe unalialia kumbe Girlfriend,Mimi nimeoa,kikatoliki,watoto wawili,na mke wangu Anaolewa tena mwezi wa saba,sasa teyari ana Mimba ya huyo mshikaji,haya compare uone kama una kitu cha kuongea
Daaah mengne mzito

kIongOzI Wa BaaDae
 
Back
Top Bottom