Ushauri wa haraka: Mpenzi wangu anaolewa

Ushauri wa haraka: Mpenzi wangu anaolewa

bishororo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
254
Reaction score
358
Habari wakuu

Niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa mwàka mzima sasa na tulikuwa tunaishi kama mke na mume ila kiukweli mimi kipato changu kidogo sana na muda wote huo tumeishi kwa furaha na amani.

Japo sometimes ugomvi wa hapa na pale unatokea nina kosa pesa anavumilia tu yani tulikuwa tunapendana. Wiki 2 sasa zimepita toka arudi kwao ananiambia anaolewa na mahari ishatoka japo hamjui bwana vizuri na aliletewa posa tu nyumbni.

So kaamua kukubali eti kisa sina mwelekeo anataka kusaidia wazazi wake. Yaani nahisi kufa, nilikuwa nampenda sana.

Nifanyaje wakuu? Yaani nishaenda mpaka kwao ila msimamo wake haubadiliki sijajua nini kimemsibu au kalogwa?
 
Pole najua maumivu unayoyapitia

Kubali kwamba huyo ameenda , hata mimi siku chache kabla ya ndoa nkagundua alkua anancheat nliumia na nkavunja mahusiano

Cha msingi tafuta maisha hivi sasa hiyo ikupe uchungu wa kusaka maisha

Maumivu ya mapenzi yape muda huwa yanapita

Pole sana chief na mungu akusaidie

Umekula leo?
 
Wewe unalialia kumbe Girlfriend,Mimi nimeoa,kikatoliki,watoto wawili,na mke wangu Anaolewa tena mwezi wa saba,sasa teyari ana Mimba ya huyo mshikaji,haya compare uone kama una kitu cha kuongea
Duh mkuu hii kweli je wewe huumii?umefanyaje kuwa normal?mpe njia umsaidie jamaa ki mawazo
 
Tulia Wewe Siyo Ndiyo Tunaojua
Wapi Tutumie Nini
Miaka 11 Kuna Dada Alikuwa Na Jamaa
Kila Akijaribu Kuolewa Jambo Halifiki Mwisho
Mwache Aolewe
 
je huna mwelekeo kweli kama jibu ni NDIYO wala usitafute mchawi tafuta pesa ili upate mwelekeo
 
pole najua maumivu unayoyapitia

kubali kwamba huyo ameenda , hata mimi siku chache kabla ya ndoa nkagundua alkua anancheat nliumia na nkavunja mahusiano

cha msingi tafuta maisha hivi sasa hiyo ikupe uchungu wa kusaka maisha

maumivu ya mapenzi yape muda huwa yanapita

pole sana chief na mungu akusaidie

umekula leo ?
 
Back
Top Bottom