gilldenu
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 2,914
- 3,025
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
i am better here
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio mwanaume,maisha lazima yaendelee mimi hata dunia nzima inikatae bado napumua na afya ninayo inatosha. Maisha haya jitahidi uwe na imani ya dini kidogo ikufariji maana haina madhara/haikudhuru pombe,wanawake na vitu vingine haviwezi kukufariji Mzee bila madharaWewe unalialia kumbe Girlfriend,Mimi nimeoa,kikatoliki,watoto wawili,na mke wangu Anaolewa tena mwezi wa saba,sasa teyari ana Mimba ya huyo mshikaji,haya compare uone kama una kitu cha kuongea
Pole najua maumivu unayoyapitia
Kubali kwamba huyo ameenda , hata mimi siku chache kabla ya ndoa nkagundua alkua anancheat nliumia na nkavunja mahusiano
Cha msingi tafuta maisha hivi sasa hiyo ikupe uchungu wa kusaka maisha
Maumivu ya mapenzi yape muda huwa yanapita
Pole sana chief na mungu akusaidie
Umekula leo?
Wewe unalialia kumbe Girlfriend,Mimi nimeoa,kikatoliki,watoto wawili,na mke wangu Anaolewa tena mwezi wa saba,sasa teyari ana Mimba ya huyo mshikaji,haya compare uone kama una kitu cha kuongea
pamefanyaje mkuu wangu mahondaw
it is better tumuulize usikute hajala kama hajala nmwambie akachukue misosi kwa jamaa angu flani hapo dresalama kama yuko hapo
Kujisikia kufakufa ndo kukoje!?Habari wakuu
Niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa mwàka mzima sasa na tulikuwa tunaishi kama mke na mume ila kiukweli mimi kipato changu kidogo sana na muda wote huo tumeishi kwa furaha na amani.
Japo sometimes ugomvi wa hapa na pale unatokea nina kosa pesa anavumilia tu yani tulikuwa tunapendana. Wiki 2 sasa zimepita toka arudi kwao ananiambia anaolewa na mahari ishatoka japo hamjui bwana vizuri na aliletewa posa tu nyumbni.
So kaamua kukubali eti kisa sina mwelekeo anataka kusaidia wazazi wake. Yaani nahisi kufa, nilikuwa nampenda sana.
Nifanyaje wakuu? Yaani nishaenda mpaka kwao ila msimamo wake haubadiliki sijajua nini kimemsibu au kalogwa?