Ushauri wa haraka: Mpenzi wangu anaolewa

Ushauri wa haraka: Mpenzi wangu anaolewa

Wewe unalialia kumbe Girlfriend,Mimi nimeoa,kikatoliki,watoto wawili,na mke wangu Anaolewa tena mwezi wa saba,sasa teyari ana Mimba ya huyo mshikaji,haya compare uone kama una kitu cha kuongea
Nikiwa kama msemaji wa mabaharia tz/ watu wabaya tumedhamiria kukupitisha uwe mwenyekit wetu kwakura zote zandio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa mwàka mzima sasa na tulikuwa tunaishi kama mke na mume ila kiukweli mimi kipato changu kidogo sana na muda wote huo tumeishi kwa furaha na amani.

Japo sometimes ugomvi wa hapa na pale unatokea nina kosa pesa anavumilia tu yani tulikuwa tunapendana. Wiki 2 sasa zimepita toka arudi kwao ananiambia anaolewa na mahari ishatoka japo hamjui bwana vizuri na aliletewa posa tu nyumbni.

So kaamua kukubali eti kisa sina mwelekeo anataka kusaidia wazazi wake. Yaani nahisi kufa, nilikuwa nampenda sana.

Nifanyaje wakuu? Yaani nishaenda mpaka kwao ila msimamo wake haubadiliki sijajua nini kimemsibu au kalogwa?
Huyo sio mpenzi wako huyo ni mpenzi wa huyo anayemuoa jiangalie .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi pitia situation kama yako mkuu
Nafahamu moyo wako ulivyochoka na huzuni
Unakama wiki tatu mbele za msoto mkubwa,usiku hautopata usingizi,na si ajabu ukapungua mwili
Ila! Nikuhakikishie kua huyo hakupendi
Sababu angekupenda angekuhakikishia kila kitu,angekushika usipotee...angekuonesha njia...wapi upite akikufuata NYUMA
Ila ulidhan anakupenda angekupenda katu asingekubari hata kuwasikiliza wazazi wake( kama alilazimishwa kuolewa)

Mkuu Kama wachangiaji wengine tu kisicho liziki huli!
Mimi mwenzio shingo ilinyookaa twiga ikasome lakin yeye Wala Hana time
Nakushauli kwa Sasa jipe hata kisafari badili mazingira,kutana na wadau wapya fanya kazi
Mkuu tunawazika wapendwa wetu Ila tunasahau nalo litapita



Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mbn hta ndg zake rafk zake wanashangaa ni gafla yan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mbn hta ndg zake rafk zake wanashangaa ni gafla yan

Sent using Jamii Forums mobile app
The point is you and her
Hata Kama wazazi wangejua lakini yeye akakataa utamlazimisha? Wazazi wake wakimlazimisha ikiwa hajapenda utaishi nae vipi
Mkuu mengine yanaepushwa na wewe

Kwaimani_ ikiwa upendo umeanzishwa na mungu asingeruhusu uumie
Huenda sio yako ukilazimisha itakukost

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The point is you and her
Hata Kama wazazi wangejua lakini yeye akakataa utamlazimisha? Wazazi wake wakimlazimisha ikiwa hajapenda utaishi nae vipi
Mkuu mengine yanaepushwa na wewe

Kwaimani_ ikiwa upendo umeanzishwa na mungu asingeruhusu uumie
Huenda sio yako ukilazimisha itakukost

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo nifanyaje sa iv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu

Niko kwenye mahusiano na huyu dada kwa mwàka mzima sasa na tulikuwa tunaishi kama mke na mume ila kiukweli mimi kipato changu kidogo sana na muda wote huo tumeishi kwa furaha na amani.

Japo sometimes ugomvi wa hapa na pale unatokea nina kosa pesa anavumilia tu yani tulikuwa tunapendana. Wiki 2 sasa zimepita toka arudi kwao ananiambia anaolewa na mahari ishatoka japo hamjui bwana vizuri na aliletewa posa tu nyumbni.

So kaamua kukubali eti kisa sina mwelekeo anataka kusaidia wazazi wake. Yaani nahisi kufa, nilikuwa nampenda sana.

Nifanyaje wakuu? Yaani nishaenda mpaka kwao ila msimamo wake haubadiliki sijajua nini kimemsibu au kalogwa?
Mwambie hivi ''hata ukiolewa usiniache'' uone atasemaje! akikupa jibu njoo humu JF nikwambie kitu cha kufanya
 
Mwambie hivi ''hata ukiolewa usiniache'' uone atasemaje! akikupa jibu njoo humu JF nikwambie kitu cha kufanya
Nmetoka kuongea nae mda si mrefu maana alinitext msg hewa anasema yan ananipenda ila hajielew kwann kabadilika gafla anahis kuna mamb ya kishirikina nmeongea nae vizur pia ananipenda kasema yan kw jinsi nlivoish nae hawez kubadilika gafla ivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia Wewe Siyo Ndiyo Tunaojua
Wapi Tutumie Nini
Miaka 11 Kuna Dada Alikuwa Na Jamaa
Kila Akijaribu Kuolewa Jambo Halifiki Mwisho
Mwache Aolewe
Wee dogo, wewe si ndo ulieliwa tigo kimasihara na mhindi?

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Nmetoka kuongea nae mda si mrefu maana alinitext msg hewa anasema yan ananipenda ila hajielew kwann kabadilika gafla anahis kuna mamb ya kishirikina nmeongea nae vizur pia ananipenda kasema yan kw jinsi nlivoish nae hawez kubadilika gafla ivo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa sasa wewe kuwa mpole, halafu usimnunie, mkubalie akutembelee ila uwe makini na ukimwi, usifanye haraka kujikumbushia enzi! wala usijikumbushie, kuwa kawaida, japo unaumia, Kuwa smart zaidi ya ulivo kuwa awali, kimavazi kipesa na kichwani yaani shule!

Lengo la kufanya hivi ni ili yeye akutibu upone Majeraha uliyoumizwa kimapenzi! na kujitayarisha kisaikolojia akutoke Moyoni polepole! usifanye haraka kuoa ke'' mwingine km kulipiza hivi, unaweza ingia chaka zaidi ukatia huruma!. Polepole jipe Moyo kuwa kuna kitu cha hatari ambacho roho yako inakuepusha nacho kwa huyo mwanamke! SALAMA MOYONI ITAKUJA JARIBU
 
toa mchango mambo yaishe tu pita hvi jombi changamoto huwa aziishi kama jasho la kwapa jombi acha kwere ndo kaondoka hvo tafuta jaksi tu mkuu
 
Hapa sasa wewe kuwa mpole, halafu usimnunie, mkubalie akutembelee ila uwe makini na ukimwi, usifanye haraka kujikumbushia enzi! wala usijikumbushie, kuwa kawaida, japo unaumia, Kuwa smart zaidi ya ulivo kuwa awali, kimavazi kipesa na kichwani yaani shule!

Lengo la kufanya hivi ni ili yeye akutibu upone Majeraha uliyoumizwa kimapenzi! na kujitayarisha kisaikolojia akutoke Moyoni polepole! usifanye haraka kuoa ke'' mwingine km kulipiza hivi, unaweza ingia chaka zaidi ukatia huruma!. Polepole jipe Moyo kuwa kuna kitu cha hatari ambacho roho yako inakuepusha nacho kwa huyo mwanamke! SALAMA MOYONI ITAKUJA JARIBU

Bravo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom