Kwani ungenyamaza koo lako lingetoboka?....hayakuhusu haya ya mahakama ya kadhi yann yakushughulushe?Ukiupenda chukua usipoupemda sepa.
Nawashauri waislam kwakuwa mahakama ya kadhi ni ibada waunde jumuiya ndogondogo za waislam ambazo watafanya ibada zao huko na watashitakiana ndoa zao huko na watapeana talaka huko. Ndoa zitasuluhishwa na Waislam wenyewe. Hii itakuwa rahisi kwakuwa waislam wote ktk jumuiya zao watakuwa wanafahamiana. Hii waendeshe kama idara fulani ndani ya jamii zao na hili ni jambo dogo sana ambalo halina sababu za msingi kuliweka kwenye katiba. Ni kama vile wakrisito walivyounda jumuiya zao wala hawakuomba ziandikwe kwenye katiba kwasababu walijua ni ibada yao sio jambo lakitaifa na hivyo halihitaji kuandikwa kwenye katiba.
Kuhusu mirathi tunazo mahakama za serikali iliyochaguliwa na wananchi wote ambazo zinafanya vizuri na zina utaratibu mzuri wakusimamia mirathi hivyo mirathi ya waislam itashughulikiwa huko. Sioni hoja wala sababu ya msingi waislam kutaka mahakama yao special kwa ajili ya mirathi wakati tayari kuna mahakama inasimamia mirathi hivyo hakuna ulazima wakuandika kwenye katiba.
Karibuni tujadili kwa hoja, matusi njoo PM tutukanane mpaka nikukomeshe.
Tatizo nyie Walokole wa Kikristo kitu gani kina waumiezeeni kichwa kusikia Waislam wanataka Mahakama ya Kadhi? mbona hamnyamazi kimya mukaiacha Serikali na hao Waislam? Mbona munaingilia mambo ya ngoswe muachieni ngoswe mwenyewe Walokole kaeeni na imani yenu na Muwaachieni Waislam na Mahakama yao ya kadhi eeehhhh.
kumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,
itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke
Waislamu kama hao si ndio hao waliojaaa bungeni wanaburuzwa na Wakirsto. Hawajielewi, hawajitambui. Wengine Mishungi mikubwaa Wanaudhoofisha tu Uislamu.
Na wewe ni nani aliekupa haki ya kuwa muislam safi zaidi ya wengine? Kama hiyo haki umejipa mwenyewe basi kwanini na waislam wengine wasijipe haki kama wewe?! Huo ni ubinafsi ukishaona muislam mwenzako katofautiana na mtazamo wako unambandika jina la muislam asiye na msimamo, kwani wewe ndie ulieteuliwa na allah kupanga viwango kwa waislam wengine!?
Nikiwa kama muislamu naunga mkono mahakama ya kadhi iwepo kwa mujibu wa sheria. Lakini suala la kuiendesha kwa kodi ya jumla ndio siungi mkono, naona itapelekea kuendeshwa na pesa chafu za wauza pombe na nguruwe.
Mimi mawazo yangu ni kuunda kitengo maalumu ndani ya TRA ambacho kazi yake itakuwa kukusanya kodi ya kuendeshea mahakama ya kadhi tu. Kitengo hiki kiwe na kitu kama fomu hivi ambayo walipa kodi wakiislamu wenye TIN wata declare kwa hiyari yao kuongezewa percent ndogo kwenye kodi wanazolipa kuendeshea mahakama ya kadhi. Naamini waislamu ni walipa kodi wazuri na wanaipenda dini yao, hawawezi kupinga utaratibu kama huu.
Wakristo kuwaburuza waislam ni jadi yao wala huna haja ya kuuliza,hata tukiamua tunaweza kuwapa mahakama ya kadhi na bado tukawaburuza makadhi. Kuhusu kuwaburuza waislam wala usilalamike,ni kawaida ya wakristo.
Div 5 utaijuwa,utaingiliaje jambo lisilokuhusu.
Kwani wewe huna habari? Amka basi Serikali dini yake ni CCM Chama Cha Mapinduzi . Na Tanzania Kuna Dini mbili kubwa Dini ya Kiislam na Dini ya Kikristo amka bibie upo usingizini wewe ladyfurahiakumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,
itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke
Mtaumia sana akili zenu nyie msiopenda Mahakama ya Kadhi Tuachieni na Mahakama yetu ya Kadhi muna dini yenu na sisi Tuna dini yetu musipende kutuingilia dini yenu kaeni kwenu na sisi tuachieni na Mahakama yetu ya Kadhi. Mambo ya ngoswe muachieni ngoswe mwenyewe mtoto wa nje ya ndoa hatambuliki katika dini ya kiislam kuwa ni mtoto wa halali kazi kwenu walokole.Mutajibeba wenyewe msio taka mahakama ya kadhi.
kumbe tanzania na serikali ni wana dini tena ya kislaamu bora umetufumbua macho tulikuwa hatujui kuwa serikali kumbe ina dini ya kiislamu,
itabidi damu imwagike sasa kumbe mnatuzingua hivyo; tutachinjana na kulana mpaka kielekeweke
[h=1]NAFASI YA WAISLAM NA KATIBA MPYA TANZANIA - USTADH ILUNGA[/h]Tatizo ni uwezo mdogo wa kufikiria. Yaani tuishi nchi nchi moja lakini dini moja itambulike kwenye mahakama wakati na sisi wamasai tuna dini zetu zisitambulike. Mahakama ya kadhi ni sawa na ubaguzi wa afrika ya kusini ulioweka sheria tofauti kwa wazungu na sheria kwa waafrika.
You are ONLY 35% Source: Islam in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopediaNAFASI YA WAISLAM NA KATIBA MPYA TANZANIA - USTADH ILUNGA
NAFASI YA WAISLAM NA KATIBA MPYA TANZANIA - USTADH ILUNGA
You are ONLY 35% Source: Islam in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia
[h=3]Islam in Tanzania only 35%[/h]
Div 5? ha ha ha! nina uhakika huna hata nusu ya academic performance yangu. Hili linanihusu kwasababu zaidi ya nusu ya ndugu zangu ni waislam na hiyo ina maanisha kuwa iwapo kama mahakama ya kadhi itakubalika, ndugu hao wako katika janga kubwa sana.
Usimshangae,alichokisema ni kweli,uislam hauruhusu reasoning,muislam akiwa moderate na muelewa wanasema sio muislam halisi,ukiuliza muislam halisi anatakiwa aweje huambiwi. Ina maana muislam halisi ni asiekua muelewa,asiependa majadiliano,mgomvi,mtu wa vurugu nk. Mtu akiwa muislam hana hizo tabia wanamuita muislam fake.
Mahakama ya kadhi ni ndoto za mchana kweupee,haitakaa itokee kamwe Tanzania.
kwa hiyo inamaana mm nitoe kodi yangu ilihali haihusiki na mahakama ya kadhi?
inawezekanaje serikali mkaiweka kwenye dini ilihali yenyewe haina dini?
kwani hamuwezi kuunda jumuiya zenu ndogondogo na mkafungua mahakama yenu mpaka muishirikishe serikali mbona sisi hatujaishirika serikali kwenye jumuiya zetu ammbazo tunazo?
hebu tumieni busara na hekima kama mfalme suleimani alivyokuwa na hekima sio kukurupuka na kuiga nchi zingine?
waoneni wenzenu wakenya sasa wanavyotaabika kwa kuhurusu kuwepo kwenye katiba kitu kama hicho kwanza mnawanyima wanawake wenzetu haki ya kuamua na kuishi wapendavyo kwa kuhuruhu kuwepo kwa mahakama ya kadhi