Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 64
Mhe Slaa,
Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.
Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.
Kwa heshma nawasilisha.
Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.
Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.
Kwa heshma nawasilisha.