Elections 2010 Ushauri wa bure kwa Slaa

Kishongo

JF-Expert Member
May 4, 2010
932
64
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.
 
Dr Slaa amefika hapo alipo kwa sababu anastahili. Kama safari hii upinzani haujafanikiwa bado kuna kazi kubwa kuwaandaa wananchi kwa ajili ya uchaguzi wa 2015. Kwa CCM sitegemei mabadiliko yoyote ni ufisadi kwa kwenda mbele. Sasa ni nani bora wa kuhamasisha watanzania kwa vitendo kama si Dr. Slaa? Wazo la kusema apumzike lina ajenda ya siri. Wenye macho tumeona!
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

Mafisadi wa ccm mnatia hasira nyie k#$&*(%&*($(w&(&($&($ zenu
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

Why don't you keep your comments to yourself?
 
Jamani Kingunge, Malecela, Getrude Mongella hujawaona ukawapa ushauri huo umemwona Dr. Slaa? Hao ulitakiwa uwape ushauri huu mapema:doh:
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.


tena huyu hakupiga kura.hizo % unaiztoa wapi? "heshima iliyopatikana", unafahamu vipi kwamba hawezi kuleta heshima zaidi? huo ni woga. baada ya kuona jinsi dk slaa alivyohamasisha wananchi kuondokana na kudanganywa na kudharauliwa na ccm unaogopa kwamba ataleta madhara zaidi kwa ccm huko mbeleni. huu ni mwanzo tu na safari inaendelea.....na ccm ndio ipo kwenye brink of extinction.wamechimba kisima sasa unategemea nini? wataingia wenyewe! kama ungekuwa wimbo ndio wimbo unaishia hivyo mzee...amini masikio na macho yako.
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.




he he he he he.. Wanamuogopa haoooooo. Bado.. atawafanya mengi.. wait.
 
Comment ya Kijinga kabisa!!!!!!!, enewei hayo ni mawazo yako ya kifisadi
Dr Slaa BIG UP, bado tunakuhitaji sana kwani kazi bado haijaisha haka ni ka trailer tuu
the whole movie will be 2015 Mtafute pa kukimbilia!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

hivi huoni hata aibu baba zima unakuja na ushauri wako wa kibwege kama huu? hiyo ailimia 20% umeitoa wapi? nyie ndio wezi wa kura zetu nyie!! unamfananisha mpambanaji wetu na wakongwe wa ccm? wewe m*&%$ nini?
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.
Huu si uwanja wa mashoga hoja zako kawakilishe LUMUMBA.
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

Ushauri wako wa kipuuuzi
 
Jamani Kingunge, Malecela, Getrude Mongella hujawaona ukawapa ushauri huo umemwona Dr. Slaa? Hao ulitakiwa uwape ushauri huu mapema:doh:

bado hao kwenye nyekundu tunawahitaji + mwantumu mahiza.. naona raisi wetu Doc JK.. atawateua kuwa wabunge na kuwa uwaziri
 
mhe slaa,

umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa tanzania. Umeipandisha chati chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia bungeni wanaweza kuipandisha chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

tumbafu kabisa!
 
Mhe Slaa,

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

Hivi kuna neno lingine baya zaidi ya CRAP?
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.
Mzee unatokea GESTi hujaoga nini ! hebu tuondolee nuksi haraka.
 
Tuheshimiane wana forum. Tuache matusi.

Huu ni ushauri tu ,unaweza kukubalika au kukataliwa.
Ila naamini ni ushauri mzuri, akiupuuza matokeo yataonekana na Chadema itaathirika.

Acheni hasira tunapomshauri kiongozi.
 
Mhe Slaa,

Umejitahidi sana kuongeza changamoto katika medani za kisiasa Tanzania. Umeipandisha chati Chadema na huenda wewe kama mgombea wake ukapata 20% ambayo itakuwa ni historia kwa chama na nchi yetu.

Ushauri wangu ni kwamba umefika wakati sasa upumzike (ung'atuke) siasa ili kutunza heshma iliyopatikana. Waachie vijana ili kuepuka yaliyowapata wakongwe wa ccm. Vijana wapya walioingia Bungeni wanaweza kuipandisha Chadema hadi 30% uchaguzi ujao 2015 inshaalah.

Kwa heshma nawasilisha.

Una posts 77 na huna thanks hata moja. That tells me what kind of a person you are.

Dr. Slaa hana uchu wa madaraka kama Dokta(mjanjamjanja) Mkwere. Slaa yupo kwa ajili ya taifa lake na sio kwa ajili yake binafsi na ndio maana kupitia yeye CCM wanagaragazwa mchana kweupeeee tena na watoto wadogo sana.

Dr. Slaa kaanzisha marathon ya mapambano dhidi ya mkoloni mweusi na vizazi vyote vinamfuata baada ya hapa.

Tatizo langu ni kuwa hawa wanafunzi waliokataliwa wasipige kura nna uhakika mwaka 2015 wengi wao watakuwa mitaani wakiwa na hasira ya kukataliwa na pia watakuwepo wengi tu huko kwenye vyuo ambavyo vinazaliwa kila siku. Ni kwamba CCM wameahirisha kimbunga, kingine kipo njiani kinajikusanya.

Hakuna bati ambalo halitaezuliwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom