Kwanza ni lazima tumpe Dr. Slaa hongera sana kwa kazi kubwa ya siku 71 ambazo amezitumia vyema kuipaisha bendera ya CHADEMA angani. Kupata wabunge zaidi ya ishirini (>20) na kukifanya chama kikuu cha upinzani sio jambo dogo. Kuwangusha vigogo kama Lau Masha na Anthony Diallo sio masihara.
Sasa kazi moja imebaki na ni ya kukijenga chama sehemu za vijijini na kwenye miji yenye uswahili mwingi na woga wa mabadiliko kama Tanga, Ilala, Tabora, Morogoro etc. Hakuna anayeweza kuongoza mapambano hayo zaidi kamanda Dr. Slaa.
Sasa kazi moja imebaki na ni ya kukijenga chama sehemu za vijijini na kwenye miji yenye uswahili mwingi na woga wa mabadiliko kama Tanga, Ilala, Tabora, Morogoro etc. Hakuna anayeweza kuongoza mapambano hayo zaidi kamanda Dr. Slaa.