MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,433
mbona hakuna ugomvi wa lowassa na Jeikei?? sisi twadanganywaa tuu, hawa bado ni wamojaa
Hakuna atakaekuelewa ...
mbona hakuna ugomvi wa lowassa na Jeikei?? sisi twadanganywaa tuu, hawa bado ni wamojaa
Mimi alichonishangaza JK ni kumteua Magufuli
both Magufuli na Lowasa wana vinyongo nae
yeyote atakaeshinda still anaweza lipa 'visasi' kwake
so nimemshangaa JK......halioni hilo?
Mimi alichonishangaza JK ni kumteua Magufuli
both Magufuli na Lowasa wana vinyongo nae
Hili ni la kweli au la kusadikika tu?
Magufuli ana kinyongo gani na Kikwete?
Ngabu we si unajua kuwa Kikwete aliibuka na majina matano
kutoka mfukoni mwake likiwemo la Magufuli?
sasa si kamchagua kama alivyo wachagua hao wanne wengine
angemkata kama alivyowakata wengine zaidi ya 30 nani angebisha?
Ngabu we si unajua kuwa Kikwete aliibuka na majina matano
kutoka mfukoni mwake likiwemo la Magufuli?
sasa si kamchagua kama alivyo wachagua hao wanne wengine
angemkata kama alivyowakata wengine zaidi ya 30 nani angebisha?
Kuhusu kinyongo ni story ya kweli....kuna a lot of bad blood between them
Nyumba ambazo Magufuli aliwapa ndugu zake zilirudishwa kwa amri ya JK
while obvious JK ana madhambi yake mengine ambayo Magufuli anayajua
Kwa hiyo Kikwete ndo alikuwa ana run show nzima peke yake pale Dodoma?
Kama ndo hivyo basi ni hatari sana....
Kumbe hizo nyumba zimerudishwa?
Magufuli kaokota embe kwenye mti wa miba!!
Na hilo embe Jk anahusika kuliweka hapo!!
Hana cha kumlipa zaidi ya kumlinda !!
BTW, Rais mstaafu ana kinga ya kutoshtakiwa
Wapo watu wanaamini kabisa Lowassa atashinda?
Angempitisha bado ingesemwa kamwachia rafiki yake!!
Lakini nchi hili sio ya Jk peke yake ni ya watanzania wote, Jk ana kura moja tu kwenye kuchagua rais
Tukiruhusu hili ya rais anayemaliza muda wake kutuchagulia mrithi wake itatuletea shida,ipo siku mwanae atarithi.
Mimi alichonishangaza JK ni kumteua Magufuli
both Magufuli na Lowasa wana vinyongo nae
yeyote atakaeshinda still anaweza lipa 'visasi' kwake
so nimemshangaa JK......halioni hilo?