AminiTuko pamoja. Mambo ya msingi haya lazma tukumbushane.
Hapo ni mwendo wa bao la kwanza huku la pili kwa mwengine halafu mnanalizia na double penetration kwa kila mmoja zamu zamuSasa haya ndio maneno...yaani ukitoka huko na style mupya mupya unakuja nifundisha na mie nakufundisha.
Siku ya siku tunawaalika micheps wetu tunaenjoy foursome ya maana
Duh! Demi njoo umuone huyu mzee wa kupambania na maajabu yakeHapo ni mwendo wa bao la kwanza huku la pili kwa mwengine halafu mnanalizia na double penetration kwa kila mmoja zamu zamu
Good message notedNawasihi vijana wenzangu wenye nia ya kuoa,
Nafahamu kabla ya ndoa kuna kile kipindi cha uchumba na kuchunguzana. Naomba muwe makini na watulivu katika kipindi hiko, mkijichanganya tu imekula kwenu. Wanawake wengi wanaitaka ndoa lakini kusimamia misingi ya ndoa imekua tatizo.
Kuweni makini na ma X wa mpenzi wako ambao wapo kwenye kitabu chake cha simu. Hawa mara nyingi mkigombana ndiyo hua kimbilio lake la kwanza kutafuta wa kumfariji.
Kuwa makini na yule X ambaye bado yupo kwenye mawasiliano yake ya simu na anawasiliana naye. Ukimuuliza kwanini hajafuta namba yake mara nyingi majibu ya hawa mabinti ni hua, "Siwezi futa namba ya mtu wakati hatukuachana kwa ubaya, siwezi jua kesho atakuwa na msaada gani kwangu," like WTF!
Kama hawajaachana kwa ubaya kwanini mapenzi yao hayakuishia kwenye ndoa? Ukituliza akili utagundua tu kuwa huyo ndiyo mwanaume wa ndoto zake, kwako amejiegesha kutafta stara ya ndoa tu.
Kijana shtuka mapema, kuna mwenzetu analia na kusaga meno huku. Amechanganyikiwa kabisa hapa, baada ya kukuta mazungumzo ya ma X zisizoeleweka!
Ufafanuzi zaidi katika hili kama hutojali.Usioe binti mwenye urafiki na mama ake
Sisi tuliokwisha oa tunacomment wapi?Nawasihi vijana wenzangu wenye nia ya kuoa,
Nafahamu kabla ya ndoa kuna kile kipindi cha uchumba na kuchunguzana. Naomba muwe makini na watulivu katika kipindi hiko, mkijichanganya tu imekula kwenu. Wanawake wengi wanaitaka ndoa lakini kusimamia misingi ya ndoa imekua tatizo.
Kuweni makini na ma X wa mpenzi wako ambao wapo kwenye kitabu chake cha simu. Hawa mara nyingi mkigombana ndiyo hua kimbilio lake la kwanza kutafuta wa kumfariji.
Kuwa makini na yule X ambaye bado yupo kwenye mawasiliano yake ya simu na anawasiliana naye. Ukimuuliza kwanini hajafuta namba yake mara nyingi majibu ya hawa mabinti ni hua, "Siwezi futa namba ya mtu wakati hatukuachana kwa ubaya, siwezi jua kesho atakuwa na msaada gani kwangu," like WTF!
Kama hawajaachana kwa ubaya kwanini mapenzi yao hayakuishia kwenye ndoa? Ukituliza akili utagundua tu kuwa huyo ndiyo mwanaume wa ndoto zake, kwako amejiegesha kutafta stara ya ndoa tu.
Kijana shtuka mapema, kuna mwenzetu analia na kusaga meno huku. Amechanganyikiwa kabisa hapa, baada ya kukuta mazungumzo ya ma X zisizoeleweka!
Aww 😋Hapo ni mwendo wa bao la kwanza huku la pili kwa mwengine halafu mnanalizia na double penetration kwa kila mmoja zamu zamu
Huwezi control hii...midemu ya siku hizi chupi mkononi... plus wengi wanaekti Sana...SA wewe amua moja kuzalisha au kutembeza bakora tu...Kikubwa hapa tuwe makini na ma x wa wapenzl wetu wapya.
M..... F...(kmmk)Huwezi control hii...midemu ya siku hizi chupi mkononi... plus wengi wanaekti Sana...SA wewe amua moja kuzalisha au kutembeza bakora tu...
Juzi nilienda kwenye sherehe ya mshikaji mmoja...bi arusi akamtambulisha X wake hadharani...Kisha akasema huyu huwa ananiitaga babe ....
Ni hatari sana kuona binti wa namna hii ugomvi kidogo anataka mamake ndo awe msuluhishi na mara zote lazima aegamie upande wa mwanaeUsioe binti mwenye urafiki na mama ake
Daaaah huyo bwana harusi sijui alikua na hali gani baada ya hapoHuwezi control hii...midemu ya siku hizi chupi mkononi... plus wengi wanaekti Sana...SA wewe amua moja kuzalisha au kutembeza bakora tu...
Juzi nilienda kwenye sherehe ya mshikaji mmoja...bi arusi akamtambulisha X wake hadharani...Kisha akasema huyu huwa ananiitaga babe ....

Umetema madini sana hapo japo kwa uchache.. Big upNi hatari sana kuona binti wa namna hii ugomvi kidogo anataka mamake ndo awe msuluhishi na mara zote lazima aegamie upande wa mwanae
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Mdudu ngoja nichote madini hapa
Aisee basi tufanye mpango mapema kabla ya kifunga mwakaItapendeza jamani🙈