Ushauri wa bure kwa mnaotaka kuoa

Ushauri wa bure kwa mnaotaka kuoa

Demi waambie hebu kuna makahaba na wife material maana unajua kutoaga ushauri mzuri
 
Kama mimi kuna x wangu ananisumbua na kaolewa ana watoto wawili mara anasema anataka kuondoka mara kachoka mi nafanyia counselling ili abaki lakini bado jana tu nimeongea nae masaa mawili na yeye ndo kapiga hizi ndoa hizi sometimes ni kaa la moto
 
Kama mimi kuna x wangu ananisumbua na kaolewa ana watoto wawili mara anasema anataka kuondoka mara kachoka mi nafanyia counselling ili abaki lakini bado jana tu nimeongea nae masaa mawili na yeye ndo kapiga hizi ndoa hizi sometimes ni kaa la moto
Ex wako hana tofauti na mtu aliyeajiriwa ila anahisi kwamba anaweza kuacha kazi na kupiga mishe zake 😂😂😂
 
Mwanamke asiye bikra siyo mke wako. Oa mwanamke wako .



Najua wengi mtanipopoa ila ukweli ndiyo huu
 
Back
Top Bottom