Ushauri wa bure kwa mnaotaka kuoa

Ushauri wa bure kwa mnaotaka kuoa

Nimetafuta komenti ya To yeye na Everlin Salt sijaziona ...

Anyway mzabzab njoo utie ubani kwa mabarobaro wenzio
Tatizo sie hatutaki kuwa wakweli. Wenye sifa za kuingia kwenye ndoa ni wachache sana tena sana. Wengi wetu tuendwlee tuu kukulana maana hatufai kuwa wake au mume.
Utaumia bure ukijiaminisha mbususu yako peke yako. As long as hujamkuta bikra basi huyo hana sifa za kuwa mke. Huo ndio ukweli mchungu.
 
Tatizo sie hatutaki kuwa wakweli. Wenye sifa za kuingia kwenye ndoa ni wachache sana tena sana. Wengi wetu tuendwlee tuu kukulana maana hatufai kuwa wake au mume.
Utaumia bure ukijiaminisha mbususu yako peke yako. As long as hujamkuta bikra basi huyo hana sifa za kuwa mke. Huo ndio ukweli mchungu.
Haya mwenyekiti Wenu Demi ashafungua kikao....ametanabaisha wazi Hana sifa ya kuwa mme mwema kwhy haoni sbb ya kuoa....hata ile ya kusema akioa atabadilika tabia anaona asije kuwa mnafiki...A naked truth..
 
Tatizo sie hatutaki kuwa wakweli. Wenye sifa za kuingia kwenye ndoa ni wachache sana tena sana. Wengi wetu tuendwlee tuu kukulana maana hatufai kuwa wake au mume.
Utaumia bure ukijiaminisha mbususu yako peke yako. As long as hujamkuta bikra basi huyo hana sifa za kuwa mke. Huo ndio ukweli mchungu.
Oyaaaaa ukweli mchungu kabsa😂😂😂
 
Tatizo sie hatutaki kuwa wakweli. Wenye sifa za kuingia kwenye ndoa ni wachache sana tena sana. Wengi wetu tuendwlee tuu kukulana maana hatufai kuwa wake au mume.
Utaumia bure ukijiaminisha mbususu yako peke yako. As long as hujamkuta bikra basi huyo hana sifa za kuwa mke. Huo ndio ukweli mchungu.
Huyu ndo mzabzab ninae mjua sasa, sio yule wa saa ile 😀
 
Back
Top Bottom