Ushauri wa bure kwa mnaotaka kuoa

Ushauri wa bure kwa mnaotaka kuoa

Nawasihi vijana wenzangu wenye nia ya kuoa. Nafaham kabla ya ndoa kuna kile kipindi cha uchumba na kuchunguzana. Naomba muwe makini na watulivu ktk kipindi hiko. Mkijichanganya tu imekula kwenu. Wanawake wengi wanaitaka ndoa lkn kusimamia misingi ya ndoa imekua tatizo.

Kuweni makini na ma-ex wa mpenzi wako ambao wapo kwenye phonebook yake. Hawa mara nyingi mkigombana ndio hua kimbilio lake la kwanza kutafta wa kumfariji.

Kua makini na yule ex ambae bado yupo kwenye contact zake za simu na anawasiliana nae. Ukimuuliza kwanini hajafuta namba yake mara nyingi majibu ya hawa mabinti ni hua, "Siwezi futa namba ya mtu wakati hatukuachana kwa ubaya, siwezi jua kesho atakua na msaada gani kwangu" like WTF!!! Kama hawajaachana kwa ubaya kwanini mapenzi yao hayakuishia kwenye ndoa? Ukituliza akili utagundua tu kua huyo ndio mwanaume wa ndoto zake, kwako amejiegesha kutafta stara ya ndoa tu.

Kijana shtuka mapema. Kuna mwenzetu analia na kusaga meno huku. Amechanganyikiwa kabisa hapa baada ya kukuta chat za maex zisizoeleweka!

Uzi tayari.
Asante kwa kuwasilisha mkuu
 
Nawasihi vijana wenzangu wenye nia ya kuoa. Nafaham kabla ya ndoa kuna kile kipindi cha uchumba na kuchunguzana. Naomba muwe makini na watulivu ktk kipindi hiko. Mkijichanganya tu imekula kwenu. Wanawake wengi wanaitaka ndoa lkn kusimamia misingi ya ndoa imekua tatizo.

Kuweni makini na ma-ex wa mpenzi wako ambao wapo kwenye phonebook yake. Hawa mara nyingi mkigombana ndio hua kimbilio lake la kwanza kutafta wa kumfariji.

Kua makini na yule ex ambae bado yupo kwenye contact zake za simu na anawasiliana nae. Ukimuuliza kwanini hajafuta namba yake mara nyingi majibu ya hawa mabinti ni hua, "Siwezi futa namba ya mtu wakati hatukuachana kwa ubaya, siwezi jua kesho atakua na msaada gani kwangu" like WTF!!! Kama hawajaachana kwa ubaya kwanini mapenzi yao hayakuishia kwenye ndoa? Ukituliza akili utagundua tu kua huyo ndio mwanaume wa ndoto zake, kwako amejiegesha kutafta stara ya ndoa tu.

Kijana shtuka mapema. Kuna mwenzetu analia na kusaga meno huku. Amechanganyikiwa kabisa hapa baada ya kukuta chat za maex zisizoeleweka!

Uzi tayari.
Na huyo mwenzetu ndiyo wewe sasa
 
Back
Top Bottom