Ushauri wa bure kwa mliokosa kazi TRA

Jamani mlokua mnatuponda vipi hali yenu? Mnaendeleaje huko kwenye intern nakadhalika? Huku maisha ni mazuri tayari tuna magari na wengine tuna majumba pia na huo ni mwaka mmoja na nusu tu. hahahahahahaaa life is GUCCI na hela ipo nyiiingiii tu ila ufanye kazi yako kwa ufanisi na uaminifu bata tunakula kwa sana na sasa pesa sio priority tena tunaangalia welfare nyingine.
..............Maskini akipata mætækô hulia mbwata....mbwaa mbwaa mbwaa....mbwataa!!!

Huu ni ujinga,unajisifia kumiliki nyumba sijui gari ya mkopo na wale wenye navyo na hawadaiwi wasemeje?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
960,000= 48,000
960,000-48,000=912,000
912,000-155,700=756,500
756,500 + 96,000+86,000=936,300 hivi

Sh.936,300 Si ndogo
Duh! Kumbe kama Halmashauri!

Basi Mtu mwenye diploma anayefanya kazi TPDC analipwa vizuri kuliko mwenye degree aliye tra
 
kweli mkuu, miongoni mwa watu mliochangia mm kupata hii job ni wewe, nakumbuka nilileta post humu walivyotangaza tu july 2017, ukanishauri nisome kweli kweli acts zote na related articles za kodi

thanks to god the almighty

Acts gani hizo?
 
Halafu kwenye hiyo 756,500/-, as take home haujatoa NHIF,TRADE UNION,HESLB(KWA WANAODAIWA) au mkuu tra hawana hayo makato?
 
..............Maskini akipata mætækô hulia mbwata....mbwaa mbwaa mbwaa....mbwataa!!!

Huu ni ujinga,unajisifia kumiliki nyumba sijui gari ya mkopo na wale wenye navyo na hawadaiwi wasemeje?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Unanidai? Nakula kwako? Pambana kijana paambaanaaa.
 
Mnahangaika kujadili salary hapa na ni pesa ambayo siwezi hata kuitumia kwa wiki moja tu. Binafsi mshahara wangu sijawahi kuuchukua tangu September mwaka jana 70% kwenye saccoss 15% kanisani 15% nagawa kwa watu mbalimbali. Msifikiri labda nala rushwa au madili Nooo! Nina side hustles legit kibaaoooo.
 
Back
Top Bottom